Bi. Senti 50
JF-Expert Member
- Apr 17, 2007
- 287
- 14
Madilu-Nilimuomba Bi senti 50 aongee na mheshimiwa mwenzake Zitto nipate ruksa ili nitaje wajihi wa mama zito, lakini hadi sasa BI 50 amekwepa kunipa jibu la ombi langu.ningepata ruksa hiyo ningeweka wajihi wake,ungepata picha kwanini baba yake alikimbia ujauzito wa Zito. angekuwa anamjua baba yake asingetumia jina la BI Kabwe kama surname yake.
Mswahili, yaani hili ndilo jibu lako kwangu? ama kweli weye mswahili! Sasa wanomba miye ruhusa ya kusema unachotaka kusema wakati uliyoyasema mwanzoni hukuniomba ruhusa? wanifanya miye hamnazo eh? Ukitaka kuandika historia andika lakini ukifanya hivyo ujibu maswali mawili.
Ulisema mama Zitto "hakanyagi" Dar na nikakuambia anakanyaga na hata wiki ijayo itakuwa tena Dar mchana kweupe, hajitandi buibui wala kujificha kwa kanga, je uliongopea?
Uliposema kuwa jina la Kabwe ni jina la upande wa mama yake Zitto wakati ukiujua "wasifu" wa mama yake ulikuwa unataka kusema uongo au zilikuwa girini zako tu?
Najua weye ni mswahili na unaweza kutunga kila aina ya hadithi so nipige fix.