William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
Zitto aje kujibu maswali ya wananchi hapa forum, Malecela, Lowassa, na the rest wakitembea na mbunge mwanamke ambaye ni mke wa mwananchi na kusababisha mke kupewa talaka, Spika kuhusishwa, na mpaka waziri wa serikali kuhusihswa, ni wajibu wao kujibu maswali ya wananchi, hakuna exception kwa Zitto, na Chadema au forum, ni NONESENSE!
Tunachotaka kujua ni moral authority, ya kuwa kiongozi na kuwakemea viongozi wengine hapa forum mheshimiwa Zitto anaitoa wapi baada ya kushutumiwa na kesi nzito kama hiyo, ya kusababisha mke wa mtu kuachwa kwa sababu yake, akiwa kiongozi wa wananchi?
Malecela ana watoto kama walivyo viongozi wengi wetu na wananchi pia, sidhani kama hiyo ni ishu kama ambavyop unataka kuihusisha na na hii ya uzinzi wa mbunge na mbunge, na kusababisha, mke wa mwananchi ambaye ni mmbunge kuachwa, good try lakini hakuna mjinga hapa wala mtoto mdogo, na sijui form here on hiyo authority ya kukosoa viongozi mnaitoa wapi tena, maana hakuna tena, wote tumekuwa wasaniii tena big time!
Ninarudia kuwa Mbunge Zitto, aje hapa kujibu maswali ya wananchi ili kulinda heshima ya forum! Malecela has nothing to do na this!
Tunachotaka kujua ni moral authority, ya kuwa kiongozi na kuwakemea viongozi wengine hapa forum mheshimiwa Zitto anaitoa wapi baada ya kushutumiwa na kesi nzito kama hiyo, ya kusababisha mke wa mtu kuachwa kwa sababu yake, akiwa kiongozi wa wananchi?
Malecela ana watoto kama walivyo viongozi wengi wetu na wananchi pia, sidhani kama hiyo ni ishu kama ambavyop unataka kuihusisha na na hii ya uzinzi wa mbunge na mbunge, na kusababisha, mke wa mwananchi ambaye ni mmbunge kuachwa, good try lakini hakuna mjinga hapa wala mtoto mdogo, na sijui form here on hiyo authority ya kukosoa viongozi mnaitoa wapi tena, maana hakuna tena, wote tumekuwa wasaniii tena big time!
Ninarudia kuwa Mbunge Zitto, aje hapa kujibu maswali ya wananchi ili kulinda heshima ya forum! Malecela has nothing to do na this!