Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

Yes dear,BOM ni nzuri sana,halafu inasaidia unaujua mwili wako hata ukiumwa unahisi hapa naumwa kabla hata dalili za ugonjwa hazijaanza.

Ilitakiwa hii njia tufundishwe shule sema ndo hivyo mitaala inaandaliwa kwa ushirikiano na wenye makampuni ya dawa,wanawafundisha njia zitakazowaingizia wao pesa maana mkitumia BOM vitanzi vitakosa soko
Manjia ya kisasa kiukweli sio poa , bora hata mtumie billing ovulation method (BOM
 
Yes dear,BOM ni nzuri sana,halafu inasaidia unaujua mwili wako hata ukiumwa unahisi hapa naumwa kabla hata dalili za ugonjwa hazijaanza. Ilitakiwa hii njia tufundishwe shule sema ndo hivyo mitaala inaandaliwa kwa ushirikiano na wenye makampuni ya dawa,wanawafundisha njia zitakazowaingizia wao pesa maana mkitumia BOM vitanzi vitakosa soko
Sure
 
Miaka yake inahusika nin na alichokiandika
Na unadhan mtu unaweka njia ya uzaz wa mpango bila kumshirukisha mwenza wako ? Mbona watu mnapurupukaga huko mkadhan mnajua maisha ya watu? Au hizi mada za jamii forum zinawatoa akili zenu
kuna wengine huku hawashirikishi wenza wao tena hasa maeneo ya vijijini ndani.kwahyo yupo sahihi.
 
Plus inaleta ile hali ya ukaribu kati yako na mumeo. That feeling unaipata wakati wa kudiscuss your cycle with your husband is so sweet 😋😋😋❤️❤️. Then mkianza countdown kusubiria safe days,hadi raha yaani kama mnaisubiria siku ya harusi.

Hata research zinaonesha couples wanaotumia Natural Family Planning Methods kama BOM divorce rate yao ipo chini sana compared to couples wanaotumia hizi njia za kisasa.
 
Communication matters. Mnajiandaa kabisa kwamba kuanzia kesho siku za joto zinaanza tuchukue tahadhari hii na hii na hii.

Sio rahisi jamani maana hizo siku unakuwa unatamani umgande mumeo kila wakati,lakini kulinganisha na madhara ya kutumia vijiti au sindano ni bora kuteseka kwenye siku za joto.

Kuna mwingine anachoma sindano anatoka damu mfululizo,anakuwa hapati hata chance kidogo ya kusex, sasa si bora kuvumilia hizo siku chache za hatari,zikiisha upo huru kuliko kukaa muda mrefu bila kusex kisa sindano zinafanya uvuje damu kila siku.

Mawasiliano na makubaliano yakiwepo,inasaidia ingawa ukweli utabaki kwamba sio rahisi kupambana na hisia zile siku za joto
Tatizo evolution inakufanya mwanamke uwe na genye sana

Hasa kama huna kipengele na mwenza wako jamaa unaweza shtuka umebakwa
 
Plus inaleta ile hali ya ukaribu kati yako na mumeo. That feeling unaipata wakati wa kudiscuss your cycle with your husband is so sweet 😋😋😋❤️❤️. Then mkianza countdown kusubiria safe days,hadi raha yaani kama mnaisubiria siku ya harusi. Hata research zinaonesha couples wanaotumia Natural Family Planning Methods kama BOM divorce rate yao ipo chini sana compared to couples wanaotumia hizi njia za kisasa.
Samahani in advance kwa kuuliza, wewe ni ME au ni KE?
 
Sawa, inapendeza kama wewe na mumeo mnaweza kukaa bila kushiriki tendo katika zile siku 6 -7 za hatari.
Kongole kwenu kwa kuwa na self control ya hali ya juu 👏👏 kwa wengine hilo swala ni gumu sana.
Asante sana kipenzi. Self control sio rahisi niwe mkweli,sio rahisi kabisa siwezi kudanganya. Yaani ni unajitoa sadaka. Lakini faida ni nyingi kiasi kwamba hayo mahangaiko ya siku za joto😂😂😂 huwa tunayapokea tu kwa moyo mweupe. Nashukuru Mungu nilipata hii nafasi ya dhahabu ya kujifunza Billings Ovulation Method na kiukweli sijutii
 
Zaa wewe haya madude ya wazungu mnakuja jiharibia tu mwilini .....paka limao chini huko uue viluwiluwi kama huwezi fuata tarehe za siku hatari badala ya sijui mavidonge na mavijiti mnaenda tengeneza tu magonjwa na hiyo UTI ni yanayoonekana..bado hormonal imbalance na madhara mengine ya mda mrefu..mmeubwa kuja kuijaza dunia Gates Foundation’s new world-first contraceptive for African women: what it means for AfricaView attachment 3542839
Limao tena? Hebu dadavua hiyo teknolojia
 
Mimi
Ukinikuta hospital halafu useme unataka nikuweke kitanzi nakupiga makofi na wengi nimewafanya hivyo wapuuZi sana hivi nyie mnajua ujinga wa huo unaoufanya? Jinga kabisa nyie
Ehh dokta, jamani…tafuta kazi nyingine basi
 
Nilitumia kilinipa maudhi kiukweli nilitoa.
Nilikosa kabisa hisia na nikawa siko comfortable wakati wa tendo maana Mimi na mume wangu tunapenda sana style za kubinuka.
Hapa nipo na enjoy nasubiri mimba nipate ka uzeeni
Tena kuna watu wanasema kitanzi na mapenzi ya kashikashi haviendani…hakitaki mabrekaaa🤣🤣🤣
 
Kaka zangu wakimatumbi linapokuja suala la uzazi WA mpango wa kisasa wanakuwa wakali kweli sijui shida ni nini?
Yaani kajamaa unakuta hakajui chochote kuhusu kalenda na hakana njia mbadala hilo Povu kanalotoa Sasa😀😀😀😀😀
Sema weweee…
 
Back
Top Bottom