Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,747
- 9,036
Mwanamke kuchepuka hapanaKikubwa mtu amechepuka basi bila kujali jinsia yake anepata alichokitaka basi.
Mwanamke kuchepuka hapanaKikubwa mtu amechepuka basi bila kujali jinsia yake anepata alichokitaka basi.
Utakuwa bado uko zile zama zetu wanawake wa sasa ni tofauti sana mimi na uzee wangu wamenifunza mengi ambayo zamani hatukuwa tunayaamini. Halafu hawa wa sasa kuwa satisfy ni ngumu sana so ukiwa nao 7 jua lazima huwaridhishi na wao wanatafuta kwingine.It's very simple kuhusu michepuko, mwanaume mmoja anaweza akawa nao hata 7..
unaweza ukute kundi la wanaume 15 linamiliki wanawake 100 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ... sio weak justification.. ni vile tu umeamua ruka hiki kipengele
Na wanawake tukiamua au kuchoka haturudi nyuma kabisa liwalo na liwe, hapo Sasa nyie tukiondoka unaanza kumu miss na kuona gap, sisi before doing any movement huwa tunaanza kujiandaa kiakili na kukutoa kichwani, na maumivu yakiisha ndo tuna move on kabisaMama la mama kusepa lazima iume, wanaume tunapata sana tabu kuchagua mke, ukimchagua alafu akasepa tena ni mtihani mwingine huo , ndio maana wengine hua wanazungusha sana kutia sain, wanafanya kila linalowezekana swala lirudi kwenye level ya familia , kama kuna fain au kitu cha kufanya jambo likae sawa mtu anakua tayari kuliko kuruhu mama la mama asepe
Ukiwa mwenyewe unakuwa na boundaries zake na mipango yako na hivi sisi ngono sio kiupaumbele unaweza ku survive mda mrefu na Tena ukishapata watoto wako kwanini ujipe stress?
Hafu ujue wanawake wengi hufanya vtu kwa kufata pressure za kijamii baada ya kujiwekeza hata kiuchumi, lakini majority hufanya vitu kuwafuraisha wanaume, na wanaambiwa vumilia eti ndio wanaume wako hivi huku mtu anagugumia maumivu.
Ni Bora niwewenyewe ka papuchi yangu kuliko kuishi na mtu anayekuumiza hisia zako daily. Kwani before yeye nilikuwa naishije na wengi hujificha kichaka Cha watoto
Tunatoka vizuri Kama nyie mnavofanyaMwanamke kuchepuka hapana
Unafurahia kufanya umalaya?Tunatoka vizuri Kama nyie mnavofanya
Mama la mama kusepa lazima iume, wanaume tunapata sana tabu kuchagua mke, ukimchagua alafu akasepa tena ni mtihani mwingine huo , ndio maana wengine hua wanazungusha sana kutia sain, wanafanya kila linalowezekana swala lirudi kwenye level ya familia , kama kuna fain au kitu cha kufanya jambo likae sawa mtu anakua tayari kuliko kuruhu mama la mama asepe
Hapana, ndio mambo nayo yaona mtaani huku, wala sina mda mrefu mtaan tokea nitoke kwa wazee.. ila mwanaume mmoja kua na lundo la wanawake n kawaida tuUtakuwa bado uko zile zama zetu wanawake wa sasa ni tofauti sana mimi na uzee wangu wamenifunza mengi ambayo zamani hatukuwa tunayaamini. Halafu hawa wa sasa kuwa satisfy ni ngumu sana so ukiwa nao 7 jua lazima huwaridhishi na wao wanatafuta kwingine.
Na unakuta wanawake wengine wanadaganywa sijui juu huku kwa mganga umtulize mumewe, wanazurula kwa manabii eti ndoa isife na kusahau hata kujitaftia kipato. Ifike mahali watu muchokana hamheshimu ndoa ambianeni ukweli bwana nimekuchoka sikutaki kila mtu a mind business zakeUmeona eenh! Watu wengi wanakubali kubeba stress kwa kuangalia jamii itasema vibaya sijui nini na nini kwahiyo anaona bora avumilie na atetee ujinga tu ila mioyoni wanaumia sana mimi huo upendo wa mshumaa sina kwa kweli!
[emoji1][emoji1][emoji1]
Amekuwa rafiki yangu mkubwa. Akikumbuka huwa anacheka sana.
Karibu utamkuta
Mimi nafanya ili nifurahi just for fun na sio umalayaUnafurahia kufanya umalaya?
Kuwa nao wengi na kuwaridhisha ni vitu viwili tofauti. Halafu hawa wa kisasa wengi wao wame master tabia za baba zao wanajua kuwapanga vizuri tu.Hapana, ndio mambo nayo yaona mtaani huku, wala sina mda mrefu mtaan tokea nitoke kwa wazee.. ila mwanaume mmoja kua na lundo la wanawake n kawaida tu
Yanaongeleka, Tunayamaliza maisha yanaendeleaNa wanawake tukiamua au kuchoka haturudi nyuma kabisa liwalo na liwe, hapo Sasa nyie tukiondoka unaanza kumu miss na kuona gap, sisi before doing any movement huwa tunaanza kujiandaa kiakili na kukutoa kichwani, na maumivu yakiisha ndo tuna move on kabisa
Sisem Mwanaume achepuke, ila kuchepuka kwa Mwanaume ni tofaut kabisa na kuchepuka kwenu, you don't do sex for fun, au uongo???Tunatoka vizuri Kama nyie mnavofanya
Nakuombea hilo...Hahaaa mkuu unanipangia maisha, kila mtu na wakufanana naye, Tena Mimi na baby lazima tuzeeke na hubby Hadi titumie mikongojo kifo tu kitutenganishe
Hamna heshima kwa mtu asiyetulia aisee na Kama anakuheshimu hawezi fanya hivo tena mlianzia chini kabisa then wengine wale kiulani, mhhhh hapo Bora tukose wote nafanya maamuzi magumu kuliko ya shetani.
Na hao wanaojifanya kuvumilia na Pete huku wanaumia na kuja kuletewa maradhi na ili kufuraisha watu waendelee na huo ujinga, Mimi binafsi siwezi kabisa
Kwa hili tuko tofauti Zoe hapa Nina miezi kadhaa sijakuliwa hali niliyonayo naijua Mimi tu kiasi kwamba nikicheka tu nasikia nyee zinashukaWanajidanganya sana! Na hapo ndipo naiona faida ya kuzaliwa mwanamke kwa sababu sisi wanawake kwetu ngono siyo kama chakula tofauti na hii jinsia nyingine iliyomsaliti Yesu wao kila wakati wanatamani wawe wananiliu hasa waafrika!
Mimi ndiyo maana mwanamke akiniambia eti she’s a sex addict huwa hainiingii akilini! Maana sisi hisia zetu ziko mbali na ni hadi ziwe stimulated!
So to my side I think i’m happier and better without sex and I can handle being single for the rest of my entire life. Come sun come rain.
Dogs are the best creatures ever. Very loving and selfless kwanza nashangaa kwanini wanasema wanaume wote ni mbwa yaani wanafananisha mbwa na vitu vya ajabu wanawaonea sana mbwa jamani that is so unfair.
Wanaume wote Hawa? acha utaniKwa hili tuko tofauti Zoe hapa Nina miezi kadhaa sijakuliwa hali niliyonayo naijua Mimi tu kiasi kwamba nikicheka tu nasikia nyee zinashuka
Kwahiyo tuko wanawake tunaohitaji sawa na wanaume ila Bado sio sababu ya kuruka ruka Kama vyura