Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Imekuaje mpaka ukagundua????? Kama ulianza kupekua simu yake na kumfatilia bhasi pole maana hakika ulipata mwanaume anaejielewa akawa anakuheshimu na kukutunza na familia. Unashindwa kumsamehe akati hata mchepuko wake hujawahi kukupigia simu kukutukanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nenda hata kwa mama yako mzazi umwambie huo upuuuzi kuwa unavunja ndoa kisa mwanaume kacheat nasema Ukija kupata ambae Hacheat jua ni HANISIII NA HANAA HELAAA.

MWANAUME HAKUUMBIWA MWANAMKE MMOJA POLE SANA NA UMSAMEHE MUMEO
Huu ushauri hauko sawa kabisaaah, afu ungetumia busara na hekima ktk kutoa hoja,
Pia chukulia wewe mkeo ndo amefanya hivi utakuwa ktk hali gani then upate ufahamu.
 
Kusamehe au kutosamehe ni swala la mtu binafsi, wanaume kibao wanachitiwa na wanasamehe.

BTW, nipo hapa Mbezi kuna foleni sijawahi kuona, nahisi nitalala njiani leo.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Babe hatulipizi kisasi, kwani mkicheat huwa mnalipiza kisasi?[emoji85][emoji85][emoji85]
Babe nikiteleza naomba usilipize basi, si unajua binadamu kuteleza sio ajabu. Ukiteleza nitakusemehe[emoji39]
 
Huwa tunaitumia hiyo excuse kuhalalisha kuendelea kuishi kweye ndoa na hao wazinzi (so far hata ndoa yenyewe kwenye spiritual realm inakuwa imeshavunjika). Inabidi tu niassume na kwa wenzangu kunawaka moto kama kwangu teh; ntafanyaje huku ndoa naitaka. It's wise kusema umeamua tu kuendelea kuishi na huyo mzinzi pamoja na yote (you don't owe anyone an explanation so far); kuliko kujifariji kuwa all men cheat ilhali unagugumia ndani kwa ndani

Hapa wengine tunajishaua all men cheat; ila tukihisi tu kuna mchepuko; tunautafuta then tunaenda kuanzisha timbwili au humo ndani kunawaka moto. Jiulize ni wangapi humu tukifumaniaga huwa tunawaambiwa waume zetu "hongera mume wangu; upo sawa tu kama wanaume wote? Kwa nini tuumie sasa ilhali hiyo ni tabia ya wanaume wote?

Bado wapo wanaume waaaminifu; wanaoheshimu wake zao, na viapo vyao vya ndoa kwa kutokuchepuka. Wengine ni personal decision tu kutokuchepuka; na wengine wanafanya hivyo kwa sababu ya hofu ya Mungu. Ndoa ni kitu chema sana; ndoa si kuishi na maumivu kama wengi wetu tunavyojifariji hapa. Although uaminifu sio chagamoto pekee kwenye ndoa; lakini uaminifu ukikosekana ni jambo la kujeruhi moyo sana. Kuna makosa mengi lakini usaliti sio tu ni kosa; bali ni kuvunja imani ambayo mtu alikuwa nayo juu yako. Ni gharama kubwa sana kurudisha imani ilivunjika; na kwa wengi ni kidonda kisichopona.

Let's stop legitimising nonsense. Usaliti sio tu kitu ambacho mtu anafanya kinapita. Usaliti umevunja ndoa nyingi; umetenganisha wazazi na watoto; watu wameambukizwa magonjwa yasiyotibika; familia zimetelekezwa hazina mbele wala nyuma. Kuna michepuko inaroga na kuua wake ili yenyewe iolewe afu baadaye watoto ndo wanateseka n.k. If one decides to settle for nonsense; it's very ok, but let us not propagate it. Ni upumbavu na ni ubatili

Mithali 6:26, 32-33

26. Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate;Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani.

32 Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

33 Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;Wala fedheha yake haitafutika.
Kumbe ulishapita mama[emoji120]
 
busara Zaid inahitajika, ukifanya kosa la hivyo halina mjadala , unalamba talaka hapo hapo

[emoji41][emoji41]
Na mwanaume apewe talaka aki cheat, ili iwe balanced. Khaaaaaah
 
Kumbe ulishapita mama[emoji120]
Mada za hivi lazima apite na gazeti haha, nahisi anauchukia udhindhi sana[emoji23][emoji39]. Ilà hakuna kitu kigumu kama kudumu ndoani na mtu mmoja bila kutwanga nje. Mungu atupe subra..[emoji23]
 
Babe nikiteleza naomba usilipize basi, si unajua binadamu kuteleza sio ajabu. Ukiteleza nitakusemehe[emoji39]
Babe kama nikiteleza utanisame basi hamna shida. Ukiteleza sitolipiza kisasi itakuwa tu nimeteleza babe.
 
Mada za hivi lazima apite na gazeti haha, nahisi anauchukia udhindhi sana[emoji23][emoji39]. Ilà hakuna kitu kigumu kama kudumu ndoani na mtu mmoja bila kutwanga nje. Mungu atupe subra..[emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwani babe we unaupenda udhindhi?

We jichetue tu, nakuangalia ujue!!!
 
Hivi kuna wanawake wanaoamini kuwa waume zao hawacheat na hawatowacheat?
Binafsi sijaifikia ndoa ila niliye nae huwa ananiambia kuna kipindi kitafika nitashndwa vumilia tu nitamcheat kutokana na uhalisia wa maisha na nyakati zake, huwa namkatalia katu katu lakini anakomalia kusema nakataa tu kuonesha kuwa sitofanya hvyo lakini muda ukifika itatokea tu kashajiandaa kisaikolojia mapema.
Kipindi chenyewe ni wakati wa ujauzito na uzazi baada ya kujifungua wenye ujuzi zaidi naomba mfafanue hili tafadhali liwasaidie na wengine.
 
[emoji2788]my future husband popote ulipo...nasema hiviiii I don't care how much u are going to cheat me...AI DONT KEA...I will eat food..eat your d*ck... enjoy my life take care of our babies...and steal your money...and start a business... idiot organism..[emoji849][emoji849]
I won't cheat you dear future wife
 
usimwamini huyo, we jisogeze uone kama hapiti na mzigo
Sometimes you should avoid negative mind, kumpa hongera haimaanishi nahitaji mahusiano nae, i am a woman of my dignity, sipo hapa kwa ajili ya kutafuta mahusiano or any social relatisonship

Wether i believe on him or not, it does not impact my life in any ways
 
Huu ushauri hauko sawa kabisaaah, afu ungetumia busara na hekima ktk kutoa hoja,
Pia chukulia wewe mkeo ndo amefanya hivi utakuwa ktk hali gani then upate ufahamu.
Mke wangu anafanyaje hivi????? Anataka kushindana na mimi??? Uliwahi sikia mwanamke kaolewa ndoa mbili kwa wakati mmoja?? Ebu acheni ufeminist...
 
Hivi kuna wanawake wanaoamini kuwa waume zao hawacheat na hawatowacheat?
Binafsi sijaifikia ndoa ila niliye nae huwa ananiambia kuna kipindi kitafika nitashndwa vumilia tu nitamcheat kutokana na uhalisia wa maisha na nyakati zake, huwa namkatalia katu katu lakini anakomalia kusema nakataa tu kuonesha kuwa sitofanya hvyo lakini muda ukifika itatokea tu kashajiandaa kisaikolojia mapema.
Kipindi chenyewe ni wakati wa ujauzito na uzazi baada ya kujifungua wenye ujuzi zaidi naomba mfafanue hili tafadhali liwasaidie na wengine.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu acha tuu kama amezoea kukupa nyampu daily akipata mimba uchovu na mood hanaa aisee mbona utatafuta mtu pembeni labda kama awe anajitumaa na kukupa mambo kama kawa
 
Comments zinatia hasira dah?
Kila nikisoma mtu kaandika samehe hamna mwanaume asiecheat nafyonza, kila nikisoma samehe kwa ajili ya watoto unahisi kupasuka kwa hasira.

Haijalishi tuna watoto 10. Ukicheat nikikukamata hamna msamaha. Hatima ya watoto itaamuliwa mahakamani, hao watoto acha wakue wakijua chanzo cha familia kusambaratika ni usaliti wa baba yao itawapa funzo watakapokuwa wakubwa. Eti nimvumilie mwasherati kisa nimezaa watoto? Yeye akinifumania hatovunja mahusiano kisa tuna watoto?
 
Comments zinatia hasira dah?
Kila nikisoma mtu kaandika samehe hamna mwanaume asiecheat nafyonza, kila nikisoma samehe kwa ajili ya watoto unahisi kupasuka kwa hasira.

Haijalishi tuna watoto 10. Ukicheat nikikukamata hamna msamaha. Hatima ya watoto itaamuliwa mahakamani, hao watoto acha wakue wakijua chanzo cha familia kusambaratika ni usaliti wa baba yao itawapa funzo watakapokuwa wakubwa. Eti nimvumilie mwasherati kisa nimezaa watoto? Yeye akinifumania hatovunja mahusiano kisa tuna watoto?
Ukiwa na familia utaelewaa..!! Ukivunjaa uhusiano labda usitafute mwanaume mwingine maana utaishiaa kuliwaa na kuachikaa mpaka unakufaaa... Jikazee mkuu sio kwa ubayaa
 
A cheating husband or wife will never change, they change techniques, so whatever decision you make jua tu kwambe he is doing the same thing!

But, I will do anything for my children, stay together, be a wife, and wait, make sure:

- Huongezi Mtoto tena.
- Kua tu mke responsible and good.
- Jaribu Kuwa positive na maisha!

Madhara ya kuachana:

- Maumivu kwa watoto ukiolewa tena.
- Ngumu sana kupata mapenzi ya dhati.
- Unaweza tumiwa vibaya na wanaume.

Ukishindwa kabisa Mama yangu, maisha haya mafupi, kama waweza kaa na watoto peke yako, uka avoid mahusiano mapya, mme akawatunza, wewe Mwambie akupishe hapo aende kwa hao wanawake wake!

Mke wangu alionyesha ku cheat toka 2010 nikajikaza sana for 7 years siongei Ila naugua, mwaka 2016 bila sababu nikaondoka home!

Najuta kupoteza mda wangu wa kuishi na machungu na maumivu, bora ningeondoka! Maisha ya ndoa ni utumwa sana sana, Yani Acha tu!
Uko sahihi kuishi na mtu anaye cheat ni chanzo Cha machungu mengi kwenye mahusiano, kikubwa tu watu wajue jukumu la kujipa furaha ni lako mwenyewe peke yako. Unawezaje kuendelea machungu.
 
Back
Top Bottom