cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,697
Wengi tu hata huko nje hawasimamishi kabisa wanawake tunawavumilia Sana wanaumeWao wakisalitiwa wanavyotia huruma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shenzi zao
Wengine hata nguvu hawana wapo hapa wanajishaua,, 'mwanamke mmoja hatoshi'' (ukisoma hapa Soma kwa sauti ya puani)