Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Rahisi sana kuishi na mke akiwa na mimba, fuata masharti yote anayo kupa, tenga muda wa kutosha wa kuwa karibu naye, punguza marafiki wenye mtazamo tofauti, usijaribu kuwa na mchepuko kipindi hiki.
Siku ya kujifungua muombe daktari uwepo chumba cha kujifungulia. Utakapoona zile damu na maumivu anayopitia haki ya Mungu nakuapia kuanzia siku hiyo utaapa kwa miungu yako yote kuwa mke akitoka hapa salama hautamtenda kwa baya lolote. Hilo Agano linakuja automatikale na lina dumu sana. Pia mke anakuchukulia kama ni mtu mwenye upendo na unaye jali sana. Anajikuta anakupenda na kukuheshimu.

Kwanini uchepuke? Ile kitu kama haikuchanwa kuongeza njia ni siku tano tu na kama alichanwa ruhusu mwezi upite inakuwa tayari kwa matumizi halali ya nyumbani.

Muhimu:vaa condom kuepuka mimba na usinyonye maziwa maana utakuwa una dhurumu haki ya mtoto.
Umeweka sawa hapa wanaume wote msome hapa.
 
Ndo hivi dea, hawa wanaume ni kwenda nao sawa tyuuuh vile wanavotaka. Kmvn mbwai na iwe mbwai, wala hakuna kujali aaaaah
Yani ni mwendo wa bampa tu bampa Kama walivo wao na sisi tunakutana na watu wa different taste, Kuna wanaume wamebarikiwa kila idara, vile heshima tu basi.
 
Binadamu haridhiki, umesema kweli yote. Mtu usipokuwa na self control utawamaliza na hakuna faida utapata zaidi ya kuleta mikosi, maradhi na kurudisha maendeleo ya familia nyuma. Turidhike na machaguo yetu, Jael katidhika na mimi[emoji39]
Kwakweli turidhike tu babe, tutafanyaje sasa ikiwa Mungu mwenyewe harupi vyote, how comes nitegemee wewe binadamu mwenzangu unipe vyote? Tumeridhiana basi tulishongeshe tu.
 
Wengi hapo wanamuona muhanga achukulie kawaida lakini haiwezekani kabisa si Duniani mpaka mbinguni

Ila sehemu moja ambayo wanaume wengi tunakosea ni kudhani kwamba sisi wanaume tuna haki miliki ya kusaliti na tunatakiwa kusamehewa ( ambapo huu mtazamo si sahihi)

Halafu usaliti ni hatua ndefu sana msaliti anaanzia mbali sana, usaliti wa bahati mbaya almost ni hakuna
Jamani weee mkaka nenda [emoji548]kachukue chochote unachotaka, mie nakuja kulipa chap kwa haraka.
 
Hata nyie huwa mnatofautiana Sana Kuna wanaume ma handsome very caring, they know to listen, Wana f...k vizuri. So watu hutofautiana hyo kusema kwenu ni haki si kweli ka wewe sio handsome mkeo anakurana na handsome mzuri kuliko wewe. So na kumridhisha mtu Ni ngumu vile watu tumetofautiana even it's taste, Sasa nyie ubinafsi mnajihalalishia.
In short jua hata wewe mkeo anakuvumilia na sio kwamba una mridhisha, kuanzia kwenye tendo hata kifedha

Mama u handsome wa mwanaume ni pesa tu hakuna kingine mwenaume awe handsome halafu hana pesa na si mtafutaji hana tofauti na binti mrembo! Hiyo ndiyo tofauti kuu ya wanaume ila nyie tofauti zenu zipo kwenye muonekano wa nje! period.
 
Rahisi sana kuishi na mke akiwa na mimba, fuata masharti yote anayo kupa, tenga muda wa kutosha wa kuwa karibu naye, punguza marafiki wenye mtazamo tofauti, usijaribu kuwa na mchepuko kipindi hiki.
Siku ya kujifungua muombe daktari uwepo chumba cha kujifungulia. Utakapoona zile damu na maumivu anayopitia haki ya Mungu nakuapia kuanzia siku hiyo utaapa kwa miungu yako yote kuwa mke akitoka hapa salama hautamtenda kwa baya lolote. Hilo Agano linakuja automatikale na lina dumu sana. Pia mke anakuchukulia kama ni mtu mwenye upendo na unaye jali sana. Anajikuta anakupenda na kukuheshimu.

Kwanini uchepuke? Ile kitu kama haikuchanwa kuongeza njia ni siku tano tu na kama alichanwa ruhusu mwezi upite inakuwa tayari kwa matumizi halali ya nyumbani.

Muhimu:vaa condom kuepuka mimba na usinyonye maziwa maana utakuwa una dhurumu haki ya mtoto.

Ahsante kwa maarifa mkuu n vzuri sana kujifunza/kufaham jambo kabla ya kukosea. Sikuwa na ufahamu juu ya hili sasa nimeng’amua jambo jipya kabisa.
 
Si ndio heshima mnayoitaka jamani, mbona leo mnaikana[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745]
Heshima ya kupiga pumbu kila chupi inayopita mbele yangu? Mimi huo naita upumbafu tu na ukichangiwa na ulimbukeni. Turudi kwenye mada dada, ushauri unaompa huyu mleta mada ni kuchepuka na atiwe mimba? Akishafanya hivyo mmewe akajua akamfukuza huyo mtoto wa nje atalelewa na nani? na kama baba yake nae akamkana? Mbona mnataka kuwapa shida viumbe ambao hata hawastahili kufanyiwa hivyo? Two wrongs do not make a right
 
Kwa hiyo akiachana na mmewe kwa taratibu zote hatopata wa kumtoa hizo hamu huko aendako?
Kwanini aachane, hapo no kuachana hapo wabaki kulea maana sisi wanawake tukikukamata upendo hufa na ndio mnalalamika wanawake hawawajali.
Wakutoa hamu wako wengi kwanza kashatendwa hamu inatoka wapi?
 
Not all men cheat. Usikariri dada yangu. Huwezi amini lakini ndiyo ilivyo. Kama mume wako anacheat usijumuishe wote. Sijawahi kumcheat wifi yako ila yeye alinicheat sana kwahiyo ningesema all women cheat ni jambo ambalo siyo kweli.
"MWANAMKE AKICHEAT, MWANAUME HAMRIDHISHI KITANDANI ILA MWANAUME AKICHEAT NI TAMAA ZAKE"
Pole kaka mke kucheat is something else

Ila tu my hubby has never cheated on me, i have no evidence to prove that he has ever cheated on me,

wanaume waaminifu wapo ila majority ni cheaters, hata ukisoma comments za Me wengi utagundua kwamba ni jambo ambalo wamelihalalisha

On the other side, nia yangu ilikua kumtia moyo mleta mada ili aone kwamba kila ndoa ina madhila yake na asipokua mwangalifu kwenye maamuzi yake anaweza kuangukia sehemu mbaya zaidi
 
Wengi hapo wanamuona muhanga achukulie kawaida lakini haiwezekani kabisa si Duniani mpaka mbinguni

Ila sehemu moja ambayo wanaume wengi tunakosea ni kudhani kwamba sisi wanaume tuna haki miliki ya kusaliti na tunatakiwa kusamehewa ( ambapo huu mtazamo si sahihi)

Halafu usaliti ni hatua ndefu sana msaliti anaanzia mbali sana, usaliti wa bahati mbaya almost ni hakuna
Halafu nyie mnakuwaga wapi mnatuachia haya mafurushi yanatuvurugia watoto na jamii[emoji134][emoji134]
Hebu mjitokezage mara kwa mara kabla hatujazoea haramu kuwa halali.
 
Yani ni mwendo wa bampa tu bampa Kama walivo wao na sisi tunakutana na watu wa different taste, Kuna wanaume wamebarikiwa kila idara, vile heshima tu basi.
Yaaan mie nashangaa mwanamke ana haha na gugu na goga moyoni kisa usaliti was mwanaume kwan huko nje wanaume wengine hawapo?
Khaaaaaah tena mie ndo natafuta mchepuko huko nje nampa kimasikhara na every taim he wannah,
Sitaki kabisa kuishi kwa mateso na maumivu wakati soln ipo na ni rahisi km kumsukuma mlevi, aaaaaah kwan tsh ngapi bhanaaah
 
Heshima ya kupiga pumbu kila chupi inayopita mbele yangu? Mimi huo naita upumbafu tu na ukichangiwa na ulimbukeni. Turudi kwenye mada dada, ushauri unaompa huyu mleta mada ni kuchepuka na atiwe mimba? Akishafanya hivyo mmewe akajua akamfukuza huyo mtoto wa nje atalelewa na nani? na kama baba yake nae akamkana? Mbona mnataka kuwapa shida viumbe ambao hata hawastahili kufanyiwa hivyo? Two wrongs do not make a right
Mimba ni matokeo tu anaweza kujitahidi isitokee. Ila atafute heshima maana kuchepuka kunaleta heshima ya ndoa.
 
Ushauri wako mubovu yeye anaenda kutafta tulizo la moyo na sio kulipiza Wala Nini Kama nyie ni polygamy in nature basi na yeye atafte tulizo la moyo. Usilopenda kufanyiwa basi usimfanyie mwenzako
Hizo ni fikra tu kuwa kuna tulizo la moyo kwasababu mwanaume anayekwenda kukutana naye bado atakuwa na asili ya wanaume. Labda useme kulipiza kisasi. Mi hiyo naona ni sawa na kunywa sumu ukidhani atakufa adui yako. Ndio maana nikasema mpaka afikie kuzaa nje bora akalifanya hilo nje ya ndoa. Kwa asili ya mwanaume ilivyo na hata ukienda kwenye sheria ya ndoa imetamka hakuna mwanamke anayeruhusiwa kuwa kwenye ndoa zaidi ya moja kwa wakati mmoja. Kwa maana hiyo atapoteza hata stahiki zake. Sheria haisemi chochote kuhusu mwanaume kuwa kwenye ndoa zaidi ya moja kwa wakati mmoja.

Unaweza kuona kwamba sheria imewapunja wanawake lakini imezingatia uhalisia wa mambo. Ndiyo maana hata sheria hiyo inasema mme hawezi kumrithi mke labda kama hana watoto. Ila mwanamke anaruhusiwa kumrithi mume. Hii imemlinda mwanamke ingawa wanaume nao watalalamika. Ila hii ni kwasababu mwanaume anaweza kuwa na ndoa zaidi ya moja.

Hivyo mi naona kama huyo yakimshinda aachie ngazi tu kuliko kutengeneza matatizo zaidi akifikiri anatafuta tulizo la moyo.
 
Rahisi sana kuishi na mke akiwa na mimba, fuata masharti yote anayo kupa, tenga muda wa kutosha wa kuwa karibu naye, punguza marafiki wenye mtazamo tofauti, usijaribu kuwa na mchepuko kipindi hiki.
Siku ya kujifungua muombe daktari uwepo chumba cha kujifungulia. Utakapoona zile damu na maumivu anayopitia haki ya Mungu nakuapia kuanzia siku hiyo utaapa kwa miungu yako yote kuwa mke akitoka hapa salama hautamtenda kwa baya lolote. Hilo Agano linakuja automatikale na lina dumu sana. Pia mke anakuchukulia kama ni mtu mwenye upendo na unaye jali sana. Anajikuta anakupenda na kukuheshimu.

Kwanini uchepuke? Ile kitu kama haikuchanwa kuongeza njia ni siku tano tu na kama alichanwa ruhusu mwezi upite inakuwa tayari kwa matumizi halali ya nyumbani.

Muhimu:vaa condom kuepuka mimba na usinyonye maziwa maana utakuwa una dhurumu haki ya mtoto.

Anko naona umesisitiza hapo kwenye chakula cha mtoto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nashangaa mwanamke anaye mwamini Hawa wanaume furushi wengine hununua Hadi machangudoa
Huu ujinga wamejazana na kuona ni haki yao ya msingi kabisa. Wanazivunja ndoa zao kwa ujinga wao then wanakimbilia kuwalaumu wanawake. Alowaambia wanawake ni malaika nani?
 
Nashangaa mwanamke anaye mwamini Hawa wanaume furushi wengine hununua Hadi machangudoa
Na kujua hadi real life la hao makahaba ya kimboka, khaaaaaaah wanashangaza km sio kustaajabisha,
 
Back
Top Bottom