carnage21
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 520
- 1,257
Aloo nilichokutana nacho leo balaa, nawaombeni wadada mnaoweka hizi kucha za bandia kuweni makini kwenye sehemu zenye mkusanyiko wa watu. Leo nimekoswa kutobolewa macho kwenye daladala.
Sawa tunajua mnataka muonekane warembo, ila basi jaribuni kulinda usalama wetu sisi wengine. Sio kwamba nawataka msiweke hizo kucha zenu bali nahitaji muwe wastaarab, sisi wengine bado wadogo jaman tuna ndoto zetu. leo ukinitoboa macho nitaishije.
Unakuta mtu ana kucha kama hizi halafu anakaa kindezi tu.
Sawa tunajua mnataka muonekane warembo, ila basi jaribuni kulinda usalama wetu sisi wengine. Sio kwamba nawataka msiweke hizo kucha zenu bali nahitaji muwe wastaarab, sisi wengine bado wadogo jaman tuna ndoto zetu. leo ukinitoboa macho nitaishije.
Unakuta mtu ana kucha kama hizi halafu anakaa kindezi tu.