Ahahaha.....i do!
We have a new drama...... Mie ntamalizia time ikifika....lol
Nihadisie basi babes...!!!
wasichana wafupi mna bahati mbaya,,,,,
Hi makitu ni relative bana, what is gud to u might not necessarily be gud to others.
Pole mdau ushachelewa but I have what you describe plus chocolate colour na hips, nywele ndo usiseme ndefu na nzuri.Mimi napenda watoto warefu 5.8ft na kuendelea.
Huwa nafurahia sana kuwa mwanamke mrefu, maana hata ukimkunja anakujika vizuri. Halafu sasa itokee mmetoka nae out kapiga pamba za ukweli dah msukuma mimi raha mpaka kwenye nywele.
Sipendi tipwa tipwa, sipendi wenye makalio makubwa.
Napenda toto inayojua kutunza nywele. Mimi msukuma mimi najisikia kweli na huyo mtoto anakuwa malkia kwangu.
Pole mdau ushachelewa but I have what you describe plus chocolate colour na hips, nywele ndo usiseme ndefu na nzuri.
mnhhhhh kuchelewa why?
Nimeshawekwa ndani, Afu no mchepuko in my life nisije nikachakaa bure kwa kuchanganya damu.
Sijawahi kumuona binti mfupi kapendeza hata avae sare na binti mrefu
Huwa mnatupa shida sana tuliooa kwa mada kama hizi...Kwa hiyo tufanyeje na sisi tuipate hiyo bahati. Tuchepuke????
mtazamo wako... tu.. kila mtu ana interest yake.. wako ambao si rahisi kuona mwanamke mrefu kapendeza.. wanawakubali wale wafupi ile mbaya..