Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,412
- 104,849
Hayo ni maoni yako usitake kila mtu abebe dhana yako mkuu.
Ajakwambia upende apendacho.
Kama vp ungepita kimyakimya
Hayo ni maoni yako usitake kila mtu abebe dhana yako mkuu.
Anawafananisha na kina Lulu, Msukule wa Wema Aunt Ezekiel, na maselebreti feki wengine.
Wafupi ukorofi wetu nini??@Mzabzab
Huyu bwana anahangaika kama bisi kikaangoni...kila mara kuweka threads za ajabu ajabu!!!
Hayo ni maoni yako usitake kila mtu abebe dhana yako mkuu.
Wewe nae umetuchosha na vistory vyako vya uongo kha!mwanaume unaona raha gani kutunga vithread vya uongo?maana jana ulisema umeachana na mnywaranda unatafuta mwingine leo unaibuka na story tena sijui za nywele khaaa!!!!!
Kwikwi kwi kwi hii imekukuna sio
Hahaaahaaaaaaaa....
Jiwe limerushwa gizani likakupata!?
Misungwi, MBukumbi, Misasi......nindo!Salawe kwetu Solwa kwetu
Ajakwambia upende apendacho.
Kama vp ungepita kimyakimya
Teh..tehhh.....teeeehhhhh....
Kumbe wafupi wakorofi?
Mimi napenda watoto warefu 5.8ft na kuendelea.
Huwa nafurahia sana kuwa mwanamke mrefu, maana hata ukimkunja anakujika vizuri. Halafu sasa itokee mmetoka nae out kapiga pamba za ukweli dah msukuma mimi raha mpaka kwenye nywele.
Sipendi tipwa tipwa, sipendi wenye makalio makubwa.
Napenda toto inayojua kutunza nywele. Mimi msukuma mimi najisikia kweli na huyo mtoto anakuwa malkia kwangu.