Wanawake warefu wana raha yake.

Wanawake warefu wana raha yake.

Mimi napenda watoto warefu 5.8ft na kuendelea.
Huwa nafurahia sana kuwa mwanamke mrefu, maana hata ukimkunja anakujika vizuri. Halafu sasa itokee mmetoka nae out kapiga pamba za ukweli dah msukuma mimi raha mpaka kwenye nywele.

Sipendi tipwa tipwa, sipendi wenye makalio makubwa.

Napenda toto inayojua kutunza nywele. Mimi msukuma mimi najisikia kweli na huyo mtoto anakuwa malkia kwangu.

vp kitandani haenei?
 
Mimi napenda watoto warefu 5.8ft na kuendelea.
Huwa nafurahia sana kuwa mwanamke mrefu, maana hata ukimkunja anakujika vizuri. Halafu sasa itokee mmetoka nae out kapiga pamba za ukweli dah msukuma mimi raha mpaka kwenye nywele.

Sipendi tipwa tipwa, sipendi wenye makalio makubwa.

Napenda toto inayojua kutunza nywele. Mimi msukuma mimi najisikia kweli na huyo mtoto anakuwa malkia kwangu.[/QU
 
Wewe mrefu wa futi ngapi?

intermediate mimi ..wanasema vice versa is true unasemaje kuhusu huu msemo mana wasichana wafupi hupendelea wavulana warefu.! wavulana warefu hupendelea wasichana wapupi kidogo at least wanaofika mabegani n.k.. kasheshe kwa wavulana wafupi sasa wao hupendelea wasichana warefu ili at least watoto wawe warefu kama mama zao sio mtoto akitumwa vyombo kabatini kwa juu mpaka aulize mama ile stuli iko wap? SO I DOUBT KWAKO. he heh heee yaliyomo yamoo..
 
intermediate mimi ..wanasema vice versa is true unasemaje kuhusu huu msemo mana wasichana wafupi hupendelea wavulana warefu.! wavulana warefu hupendelea wasichana wapupi kidogo at least wanaofika mabegani n.k.. kasheshe kwa wavulana wafupi sasa wao hupendelea wasichana warefu ili at least watoto wawe warefu kama mama zao sio mtoto akitumwa vyombo kabatini kwa juu mpaka aulize mama ile stuli iko wap? SO I DOUBT KWAKO. he heh heee yaliyomo yamoo..

Aaa mimi kwenye kitanda cha futi sita na lala diagonal.
 
Daaah ila wafupi tuna advantage....wawezaa kuolewa na yeyote wafupi kwa warefu. Warefu ni lazima watafute warefu wenzao
 
Daaah ila wafupi tuna advantage....wawezaa kuolewa na yeyote wafupi kwa warefu. Warefu ni lazima watafute warefu wenzao

Nani ka kwambia hivyo?
 
mimi napenda wanene ,bantu mizigo ile wembamba labda itokee tu cc Bujibuji
 
Last edited by a moderator:
Daaah ila wafupi tuna advantage....wawezaa kuolewa na yeyote wafupi kwa warefu. Warefu ni lazima watafute warefu wenzao
asikuambie mtu..team shotiii haifai!....wana maneno maneno saaana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom