Wanawake warefu wana raha yake.

Wanawake warefu wana raha yake.

Salawe kwetu Solwa kwetu

Umenikumbusha mbaliii..... Nilikuwa na she pale Manhigana/lyabhukande mrefu wa kutosha. Sokoni hakupi tabu ya kumtafuta. Wangu enzi zile za kuwazimia mademu na kuficha pikipiki porini.. Nilikuwa natoka kakola ya bulyanhulu kwenda kulala kwao. Kituko ni siku niliyokuta wageni ndani.. Pikipiki niliiona mzigo.. Kumbe wakati nailaza kichakani mafuta yalivuja..
 
Mimi napenda watoto warefu 5.8ft na kuendelea.
Huwa nafurahia sana kuwa mwanamke mrefu, maana hata ukimkunja anakujika vizuri. Halafu sasa itokee mmetoka nae out kapiga pamba za ukweli dah msukuma mimi raha mpaka kwenye nywele.

Sipendi tipwa tipwa, sipendi wenye makalio makubwa.

Napenda toto inayojua kutunza nywele. Mimi msukuma mimi najisikia kweli na huyo mtoto anakuwa malkia kwangu.
Mkuu wafupi nao umeshawahi kujaribu,i wish you could try yourself and see how its going down!
 
He he he karibu kwangu ila me sina nywele.
Mimi napenda watoto warefu 5.8ft na kuendelea.
Huwa nafurahia sana kuwa mwanamke mrefu, maana hata ukimkunja anakujika vizuri. Halafu sasa itokee mmetoka nae out kapiga pamba za ukweli dah msukuma mimi raha mpaka kwenye nywele.

Sipendi tipwa tipwa, sipendi wenye makalio makubwa.

Napenda toto inayojua kutunza nywele. Mimi msukuma mimi najisikia kweli na huyo mtoto anakuwa malkia kwangu.
 
mi man wangu akinipita urefu kidogo full stop ili hata tukisimama tukikaa tukipakatana kupeana makiss sio mpaka mtu abeeeeeeendii mpaka achoke.. au mtu asimamie vidole vya miguu...hapana kabisa
 
mi man wangu akinipita urefu kidogo full stop ili hata tukisimama tukikaa tukipakatana kupeana makiss sio mpaka mtu abeeeeeeendii mpaka achoke.. au mtu asimamie vidole vya miguu...hapana kabisa

Wewe mrefu wa futi ngapi?
 
Mimi napenda watoto warefu 5.8ft na kuendelea.
Huwa nafurahia sana kuwa mwanamke mrefu, maana hata ukimkunja anakujika vizuri. Halafu sasa itokee mmetoka nae out kapiga pamba za ukweli dah msukuma mimi raha mpaka kwenye nywele.

Sipendi tipwa tipwa, sipendi wenye makalio makubwa.

Napenda toto inayojua kutunza nywele. Mimi msukuma mimi najisikia kweli na huyo mtoto anakuwa malkia kwangu.

Huwa mnatupa shida sana tuliooa kwa mada kama hizi...Kwa hiyo tufanyeje na sisi tuipate hiyo bahati. Tuchepuke????
 
Huwa mnatupa shida sana tuliooa kwa mada kama hizi...Kwa hiyo tufanyeje na sisi tuipate hiyo bahati. Tuchepuke????

Akili kumukichwa. Kuchepuka ruksa. Angalia usikamatwe. Huwezi kula chakula kile kile maisha yako yote. Test na kwingine.
 
Tatzo la wanawake wafupi wanaongea sana muwapo out,but nimekuja kujua baadae sana kua hiyo ni asili yako kwasababu hawajiamini so hufanya vile ili nao waonekane kama wenzao.

Sio wanawake wafupi tu hata wanaume wafupi wanaongea kama wametiwa ndimu vimbele front ka nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom