Wanawake warefu wana raha yake.

Wanawake warefu wana raha yake.

Ha ha ha ha me nahisi hata ww ni mfupi mana una maneno mengi.

Mtoto mzuri hatali88 lazima kumkonga na maneno mazuri ili asuzike moyo wake. Awapo kwenye mojonzi unambembeleza taratibu.
 
Mimi nina wasiwasi na usukuma wako,hivi wewe sio wa chalinze kweli.
Mtoto mzuri hatali88 lazima kumkonga na maneno mazuri ili asuzike moyo wake. Awapo kwenye mojonzi unambembeleza taratibu.
 
Demu mrefu wa wastani, umbo fresh, asiwe na litumbo halafu apige high heels za ukwee, duuh! Furaha ya macho!
 
kweli bwana tall ladies ata mie napenda tena nataka yule akivaa high heels anipite kidogo urefu. that feeling ya kana kwamba she dominating me full burudaniiii.

alafu awe anavaa dresses na anabana belt kiunono loh...utamtaka.
last but not least warefu full upole. wafupi wakorofi sana.

Hisia tu ya kuwa dominated inakufanya mnyonge halafu mkeo anakosa confidence kwako na anajiona insecure
 
kweli bwana tall ladies ata mie napenda tena nataka yule akivaa high heels anipite kidogo urefu. that feeling ya kana kwamba she dominating me full burudaniiii.

alafu awe anavaa dresses na anabana belt kiunono loh...utamtaka.
last but not least warefu full upole. wafupi wakorofi sana.

Hahahahahaa! Umenikumbusha mbali sana aisee,hehehehee, especially that part about high heels. Nakumbuka i used to date this guy, he's tall & everything ila alikua hataki kabisa nivae high heels kisa anasema nikivaa high heels naonekana zaidi (yaani i become attractive) and he didn't like other men admiring his woman, loh! We used to fight over this issue siku moja kumaliza mzizi wa ugomvi akaja akabeba high heels zangu zote kwenye shoe rack yangu,weeeeh! Mbona palichimbika siku hiyo,damn! I am a tall lady, 5,9" ila napenda sana heels,the higher the heels the better!
 
Ooh allihamudulilah ukutane na mtoto mrefu... kajazia kwa mbalii... ngoz lainiii kama anaogea maziwa kifua kipo safi kimesimama mtoto anaongea kwa pozi sio chiriku kama MC chogo... ooh mashaallah kidume najitanuaga... macho yote kwake siangalii miyolele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom