Wanawake wanamaliza sana hela Kwa bodaboda

Wanawake wanamaliza sana hela Kwa bodaboda

Unakuta mtu anataka aende sokoni,umbali hauzidi hata dakika 15 anampigia bodaboda aje amfuate na baadae amrudishe

Kutoka kituo cha daladala Hadi home dakika kadhaa tu,wikiend anakuja ghetto kufua nguo([emoji39][emoji39]), unashangaa anakupigia simu 'nimeshafika getini njoo ufungue'..unachungulia dirishani unaona bodaboda anamshusha kisha anachukua buku lake anasepa

Siku hizi Wamekuja na staili ya 'bodaboda wangu'
Anampigia muuza chipsi anamwambia niwekee chipsi Yai kisha funga kuna mtu atafuata,mara bodaboda huyoo analeta mzigo home kisha anachukua chake anaishia zake

Wengine Hadi sokoni hawaendi tena siku hizi.Wanatuma bodaboda wanamaliza kila kitu kisha anafikisha mzigo home

Ukitembea nae mwendo mdogo tu anaweza kukuharibia siku Kwa jinsi atakavyokupandisha hasira.Utasikia 'me nimechoka kutembea bana tupande boda'..unamjibu mbona tumefika Tyr si pale tu,ananuna!!

Bodaboda wanakula hela za wanawake kama wachungaji wa mwendo kasi.
Kwa nini hamna huruma na hela?

Huku tunakoelekea mtakuja kutuambia tuache na bajeti ya bodaboda mezani Kwa mwendo huu mnaoenda nao

Mmekuwa wavivu mno!!
"Bodaboda wangu"....
 
Nilishawahi kuwa bodaboda mitaa ya tanga kuna sister huwa namchukuaga kila siku mitaa ya somaia siku moja saa moja akaniambia nimpeleke mitaa ya forodhani kufika hana hela akaniambia basi kaka nikunyonye mboo nikakubali tukashuka kule chini baharini akaninyonya mara nikasikia ananiambia na jirani anataka yaani puru anamanisha nikamaliza yangu nikasepa



Boda boda oyee ile kazi niliipenda sana sema bosi aliuza pikipiki
Ulikua upeleki Hesabu
 
Nilishawahi kuwa bodaboda mitaa ya tanga kuna sister huwa namchukuaga kila siku mitaa ya somaia siku moja saa moja akaniambia nimpeleke mitaa ya forodhani kufika hana hela akaniambia basi kaka nikunyonye mboo nikakubali tukashuka kule chini baharini akaninyonya mara nikasikia ananiambia na jirani anataka yaani puru anamanisha nikamaliza yangu nikasepa



Boda boda oyee ile kazi niliipenda sana sema bosi aliuza pikipiki
Utakuwa Kijana wa Bosnia wewe
 
Nilishawahi kuwa bodaboda mitaa ya tanga kuna sister huwa namchukuaga kila siku mitaa ya somaia siku moja saa moja akaniambia nimpeleke mitaa ya forodhani kufika hana hela akaniambia basi kaka nikunyonye mboo nikakubali tukashuka kule chini baharini akaninyonya mara nikasikia ananiambia na jirani anataka yaani puru anamanisha nikamaliza yangu nikasepa



Boda boda oyee ile kazi niliipenda sana sema bosi aliuza pikipiki
Alikuwa mtoto wa kibondei/kisambaa au kidigo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom