Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,226
- 29,491
Unakuta mtu anataka aende sokoni, umbali hauzidi hata dakika 15 anampigia bodaboda aje amfuate na baadae amrudishe
Kutoka kituo cha daladala Hadi home dakika kadhaa tu, wikiend anakuja ghetto kufua nguo, unashangaa anakupigia simu 'nimeshafika getini njoo ufungue'..unachungulia dirishani unaona bodaboda anamshusha kisha anachukua buku lake anasepa
Siku hizi Wamekuja na staili ya 'bodaboda wangu'. Anampigia muuza chipsi anamwambia niwekee chipsi Yai kisha funga kuna mtu atafuata,mara bodaboda huyoo analeta mzigo home kisha anachukua chake anaishia zake, Wengine Hadi sokoni hawaendi tena siku hizi.Wanatuma bodaboda wanamaliza kila kitu kisha anafikisha mzigo home
Ukitembea nae mwendo mdogo tu anaweza kukuharibia siku Kwa jinsi atakavyokupandisha hasira.Utasikia 'me nimechoka kutembea bana tupande boda'..unamjibu mbona tumefika Tyr si pale tu,ananuna! Bodaboda wanakula hela za wanawake kama wachungaji wa mwendo kasi.
Kwa nini hamna huruma na hela?
Huku tunakoelekea mtakuja kutuambia tuache na bajeti ya bodaboda mezani Kwa mwendo huu mnaoenda nao.
Mmekuwa wavivu mno!!
Kutoka kituo cha daladala Hadi home dakika kadhaa tu, wikiend anakuja ghetto kufua nguo, unashangaa anakupigia simu 'nimeshafika getini njoo ufungue'..unachungulia dirishani unaona bodaboda anamshusha kisha anachukua buku lake anasepa
Siku hizi Wamekuja na staili ya 'bodaboda wangu'. Anampigia muuza chipsi anamwambia niwekee chipsi Yai kisha funga kuna mtu atafuata,mara bodaboda huyoo analeta mzigo home kisha anachukua chake anaishia zake, Wengine Hadi sokoni hawaendi tena siku hizi.Wanatuma bodaboda wanamaliza kila kitu kisha anafikisha mzigo home
Ukitembea nae mwendo mdogo tu anaweza kukuharibia siku Kwa jinsi atakavyokupandisha hasira.Utasikia 'me nimechoka kutembea bana tupande boda'..unamjibu mbona tumefika Tyr si pale tu,ananuna! Bodaboda wanakula hela za wanawake kama wachungaji wa mwendo kasi.
Kwa nini hamna huruma na hela?
Huku tunakoelekea mtakuja kutuambia tuache na bajeti ya bodaboda mezani Kwa mwendo huu mnaoenda nao.
Mmekuwa wavivu mno!!