Wanawake wanamaliza sana hela Kwa bodaboda

Wanawake wanamaliza sana hela Kwa bodaboda

Satoh Hirosh

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2021
Posts
7,226
Reaction score
29,491
Unakuta mtu anataka aende sokoni, umbali hauzidi hata dakika 15 anampigia bodaboda aje amfuate na baadae amrudishe

Kutoka kituo cha daladala Hadi home dakika kadhaa tu, wikiend anakuja ghetto kufua nguo, unashangaa anakupigia simu 'nimeshafika getini njoo ufungue'..unachungulia dirishani unaona bodaboda anamshusha kisha anachukua buku lake anasepa

Siku hizi Wamekuja na staili ya 'bodaboda wangu'. Anampigia muuza chipsi anamwambia niwekee chipsi Yai kisha funga kuna mtu atafuata,mara bodaboda huyoo analeta mzigo home kisha anachukua chake anaishia zake, Wengine Hadi sokoni hawaendi tena siku hizi.Wanatuma bodaboda wanamaliza kila kitu kisha anafikisha mzigo home

Ukitembea nae mwendo mdogo tu anaweza kukuharibia siku Kwa jinsi atakavyokupandisha hasira.Utasikia 'me nimechoka kutembea bana tupande boda'..unamjibu mbona tumefika Tyr si pale tu,ananuna! Bodaboda wanakula hela za wanawake kama wachungaji wa mwendo kasi.

Kwa nini hamna huruma na hela?

Huku tunakoelekea mtakuja kutuambia tuache na bajeti ya bodaboda mezani Kwa mwendo huu mnaoenda nao.

Mmekuwa wavivu mno!!
 
Aiseee mpaka sometimes najihisi bahili mpaka mwanamke wangu anayo hii tabia hatupandi boda boda ovyo hata kama tuna hela [emoji28][emoji28]

Ni Kwa emergency sna au tuna mizigo

Home na sokoni ni DK 10 Tu kwenda .

Ila jirani yangu [emoji28][emoji119][emoji119]
 
Unakuta mtu anataka aende sokoni,umbali hauzidi hata dakika 15 anampigia bodaboda aje amfuate na baadae amrudishe

Kutoka kituo cha daladala Hadi home dakika kadhaa tu,wikiend anakuja ghetto kufua nguo([emoji39][emoji39]), unashangaa anakupigia simu 'nimeshafika getini njoo ufungue'..unachungulia dirishani unaona bodaboda anamshusha kisha anachukua buku lake anasepa

Siku hizi Wamekuja na staili ya 'bodaboda wangu'
Anampigia muuza chipsi anamwambia niwekee chipsi Yai kisha funga kuna mtu atafuata,mara bodaboda huyoo analeta mzigo home kisha anachukua chake anaishia zake

Wengine Hadi sokoni hawaendi tena siku hizi.Wanatuma bodaboda wanamaliza kila kitu kisha anafikisha mzigo home

Ukitembea nae mwendo mdogo tu anaweza kukuharibia siku Kwa jinsi atakavyokupandisha hasira.Utasikia 'me nimechoka kutembea bana tupande boda'..unamjibu mbona tumefika Tyr si pale tu,ananuna!!

Bodaboda wanakula hela za wanawake kama wachungaji wa mwendo kasi.
Kwa nini hamna huruma na hela?

Huku tunakoelekea mtakuja kutuambia tuache na bajeti ya bodaboda mezani Kwa mwendo huu mnaoenda nao

Mmekuwa wavivu mno!!
Mwanamke akae Nyumbani ahudumie familia hiyo ndo nature yake mengine m.me ufanye ew

kwisha habari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom