robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,142
- 3,338
Funguka kidogo.Ogopa saana akikwambia nina "bodaboda wangu"
Funguka kidogo.Ogopa saana akikwambia nina "bodaboda wangu"
Ndio kuwezeshwa huko ili waweze nduguKweli kabisa.
Yaani mwanamke anaenda sokoni kununua mboga ya buku lakini analipa nauli elfu 2 kwa boda kwenda na kurudi.
Aiseee!
[emoji101][emoji101][emoji101][emoji101][emoji101][emoji101]Hivi nyie mnawajua vizuri madereva wa bodaboda lakini?
Unakuta mwanamke halipi kama unavyodhani..[emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huachii nafasi[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mawazo potofu hayo.Ukisikia anasema ngoja nimpigie bodaboda wangu,jua Tyr umeshapigwa mchana kweupe[emoji28]
Maneno gan tena? Khaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Punguza ukali wa maneno ww
Kama mnawahonga pesa za bure ulitaka wasitumie? Acha wale maishaUnakuta mtu anataka aende sokoni, umbali hauzidi hata dakika 15 anampigia bodaboda aje amfuate na baadae amrudishe
Kutoka kituo cha daladala Hadi home dakika kadhaa tu, wikiend anakuja ghetto kufua nguo, unashangaa anakupigia simu 'nimeshafika getini njoo ufungue'..unachungulia dirishani unaona bodaboda anamshusha kisha anachukua buku lake anasepa
Siku hizi Wamekuja na staili ya 'bodaboda wangu'. Anampigia muuza chipsi anamwambia niwekee chipsi Yai kisha funga kuna mtu atafuata,mara bodaboda huyoo analeta mzigo home kisha anachukua chake anaishia zake, Wengine Hadi sokoni hawaendi tena siku hizi.Wanatuma bodaboda wanamaliza kila kitu kisha anafikisha mzigo home
Ukitembea nae mwendo mdogo tu anaweza kukuharibia siku Kwa jinsi atakavyokupandisha hasira.Utasikia 'me nimechoka kutembea bana tupande boda'..unamjibu mbona tumefika Tyr si pale tu,ananuna! Bodaboda wanakula hela za wanawake kama wachungaji wa mwendo kasi.
Kwa nini hamna huruma na hela?
Huku tunakoelekea mtakuja kutuambia tuache na bajeti ya bodaboda mezani Kwa mwendo huu mnaoenda nao.
Mmekuwa wavivu mno!!
Wanajifanyaga ni spesho Sana hao mbwaNiliachana na mwanamke kisa mambo hayohayo ya bodaboda wangu, mara bajaj wangu. Nikampa red card.
Unfortunately wanawake wengi pamoja na kula hivyo nk huwa hawanenepeani Sana kama wanaume na mazoezi hawafanyi.Mwanamke anakunywa uji wa ulezi wenye "blueband",mtori au supu halafu anashushia na juisi nzito ya embe na parachichi na hataki kutembea afanyishe mwili zoezi na mmeng'enyo upate nafasi.Matokeo yake ni kupata vitambi na magonjwa yatokanayo na aendeshavyo maisha yake.
Loooou sallaleeeKuna mwenzao juzikati alipigika kimbwa-koko na kuchezewa simu yake ya "tiGo" mubashar!
Au nasema uongo mtoto mzuri kutoka msamala?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mawazo potofu hayo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeanza sasa eeeh?Au nasema uongo mtoto mzuri kutoka msamala?
Let me zip my mouth 🤐🤐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeanza sasa eeeh?
Bodaboda wanakojolea mademu wazur hauwez aminiOgopa saana akikwambia nina "bodaboda wangu"
Duh....hizo kucha