Wanawake Wana roho ngumu mno

Wanawake Wana roho ngumu mno

Nifanye Nini mkuu
Usifanye chochote mkuu, wanawake wakishaamua kitu Huwa wanaamin wako perfect sana ata uongee niini hawez kukusikiliza, relax feel the pain Kwa siku kkadhaa. Ipo ck utaamka humuwaz kabisa Yan tafuta mamb ya kufanya yakupotezee focus kwake, fanya kazi zako usimpigie Wala kufuatilia chochote coz trust me brother yy huko aliko anajua anachokifanya so usihisi km unakosea saana zipo sababu mbalimbali zinazomfanya mwanamke kuivuruga amani Kwa makusud ila sababu kubwa zaidi ni kurahisisha mission yake dhidi ya wanaume wengine, anafic mgomband ili akikuchunia uhisi ni ugomv but sababu Huwa co hyo kk hapo anahitaji space ambaye hyo space ni muda anaopewa mtu mengine kk, Kwa sasa huna Cha kufanya maana yupo anayeyatia chachu mawazo yake hakuna ktu utafanya Mzee km kutafuta suluhu hatak means anafuta namna yyte ya upatikanaji wa amani we huoni km hzo ni strategical moves bro?

Lakini kitu kingine mkuu, kizazi hiki ukikipenda kinakuona ww fala ukifuatilia vzr wanawake wa skuiz hawapend mapnz ya kweli co kwasababu yanaboa km wanavyodai hpn wanamchagua mwanaume mwenye mambo mengi ili iwe km ngao ya tabia zao chafu, ww mstaarabu ukiwanae yy atakosa sababu ya kudangia Kwa wanaume women hate to feel guilty so they create the environment to support equal stupidity and at the end they'll blame as the only reason triggered their actions. Wake up bro, nakupa huu ushaur bro to bro nna experience ya huu upuuz wao for so long ila utofaut wetu ni kwamb wengn yunakufanay kifuani ila Mzee kuwa makin sana na watt wakike hawapo km unavyodhsni utafanya sacrifice zote kumuweka sehemu flan akishakaa we tna unakuwa mbwa tu. Km anajiona keki piga chini tafuta mamb mengine yakufanya au km ni pisi vuta mpya relax ukiendelea hivyo IPO ck utamkuta na muuni ndani kwako maana the more una push uonekane unajali mwenzio ndo anazidi kukuona mwanaume mpumbavu.

Yan sjui nielezeje kk adi nachoka Yan kiufupi don't tolerate red flags za dem ztakukost sana.


Run away bro
 
Sikiliza achana hisia za kitoto kuwa na hisia za kirasta na kuamini ulimwengu umefanya Kazi Yake ili kukutoa ujinga na siku nyingine usirudie.
 
Sh
Nimebadilisha dini ili nimuoe
Nimepeleka kwao posa na barua ya uchumba

Tukagombana kidogo tu, tena sababu ya ugomvi ni yeye ila matokeo yake ameniacha.

Nimejaribu kwenda kwao kuyamaliza nagonga mlango sijafunguliwa...

Naona madilisha yanafunguliwa ila hakuna ishara yoyote.

Nimejaribu kumpigia mama mke nakuta huyu mpenzi wangu ameniblock

Najaribu kumpigia tena baba mkwe nakuta mpenzi wangu ameniblock..

Nakumbuka tukifanya na maagano ya damu, tukakubaliana hatuachani ila ameniacha, sijui kama maagano yatamuathiri.
wakuu..dah wanawake....!!

Jamani matusi kejeli yote ruksa.
Karibuni
Ida ilianzia kwenye jina unaweza kutaja adi akili ni kuku maji
 
Mwache akaliwe tu atarudi na akirudi atakuta umeshafanya Reforms za kutosha kuingia kwenye uchaguzi huru na wa haki
Sawa mkuu kinaniuma Mimi ndio nimemtoa bikra.
Natamani kuongea na mama yake nikuelekeze kila kitu ila sijui nianzie wapi mkuu
 
Yaani nachoona hapo mwanamke alikuwa hajakupenda wewe ndio ulimpenda utapata shida sana mkuu
 
Back
Top Bottom