Wanawake Wana roho ngumu mno

Wanawake Wana roho ngumu mno

Sasa hapo ukatili wake ni nin??
Ukifanya wewe mwanaume inakua sio ukatili?? haya mambo yapo na hayana jinsia sijui wanawake ni katili au ni wanaume ni katili
Naona kesi za wanawake ni nyingi inamaana wanaume nyie mnaonewagwa tu ni nyinyi tu ndo victim mda wote
Hajamaanisha vile ulivyoamini ila ukiamini ulivyoamini pia sio mbaya
 
Kuku majinamizi.
 

Attachments

  • 1747668572356.jpg
    1747668572356.jpg
    93.9 KB · Views: 6
Nimebadilisha dini ili nimuoe
Nimepeleka kwao posa na barua ya uchumba

Tukagombana kidogo tu, tena sababu ya ugomvi ni yeye ila matokeo yake ameniacha.

Nimejaribu kwenda kwao kuyamaliza nagonga mlango sijafunguliwa...

Naona madilisha yanafunguliwa ila hakuna ishara yoyote.

Nimejaribu kumpigia mama mke nakuta huyu mpenzi wangu ameniblock

Najaribu kumpigia tena baba mkwe nakuta mpenzi wangu ameniblock..

Nakumbuka tukifanya na maagano ya damu, tukakubaliana hatuachani ila ameniacha, sijui kama maagano yatamuathiri.
wakuu..dah wanawake....!!

Jamani matusi kejeli yote ruksa.
Karibuni
Kwani wanawake mnapeleka posa siku hizi?
 
Nimebadilisha dini ili nimuoe
Nimepeleka kwao posa na barua ya uchumba

Tukagombana kidogo tu, tena sababu ya ugomvi ni yeye ila matokeo yake ameniacha.

Nimejaribu kwenda kwao kuyamaliza nagonga mlango sijafunguliwa...

Naona madilisha yanafunguliwa ila hakuna ishara yoyote.

Nimejaribu kumpigia mama mke nakuta huyu mpenzi wangu ameniblock

Najaribu kumpigia tena baba mkwe nakuta mpenzi wangu ameniblock..

Nakumbuka tukifanya na maagano ya damu, tukakubaliana hatuachani ila ameniacha, sijui kama maagano yatamuathiri.
wakuu..dah wanawake....!!

Jamani matusi kejeli yote ruksa.
Karibuni
 
Nimebadilisha dini ili nimuoe
Nimepeleka kwao posa na barua ya uchumba

Tukagombana kidogo tu, tena sababu ya ugomvi ni yeye ila matokeo yake ameniacha.

Nimejaribu kwenda kwao kuyamaliza nagonga mlango sijafunguliwa...

Naona madilisha yanafunguliwa ila hakuna ishara yoyote.

Nimejaribu kumpigia mama mke nakuta huyu mpenzi wangu ameniblock

Najaribu kumpigia tena baba mkwe nakuta mpenzi wangu ameniblock..

Nakumbuka tukifanya na maagano ya damu, tukakubaliana hatuachani ila ameniacha, sijui kama maagano yatamuathiri.
wakuu..dah wanawake....!!

Jamani matusi kejeli yote ruksa.
Karibuni
Kwani wanawake mnapeleka posa siku hizi?
 
Nimebadilisha dini ili nimuoe
Nimepeleka kwao posa na barua ya uchumba

Tukagombana kidogo tu, tena sababu ya ugomvi ni yeye ila matokeo yake ameniacha.

Nimejaribu kwenda kwao kuyamaliza nagonga mlango sijafunguliwa...

Naona madilisha yanafunguliwa ila hakuna ishara yoyote.

Nimejaribu kumpigia mama mke nakuta huyu mpenzi wangu ameniblock

Najaribu kumpigia tena baba mkwe nakuta mpenzi wangu ameniblock..

Nakumbuka tukifanya na maagano ya damu, tukakubaliana hatuachani ila ameniacha, sijui kama maagano yatamuathiri.
wakuu..dah wanawake....!!

Jamani matusi kejeli yote ruksa.
Karibuni
Aliye kubadilisha dini anatokea dini ya wapenda ndoa na majini
 
Sawa ila yule hawezi kurudi anarudi kwangu kufata Nini? Kwao hela zipo ana uhakika wa ajira, Mimi pangu pakavu atafata Nini??

Ila nakumbuka tulikubaliana atakae muacha mwenzio yamkute mabaya kwenye maisha yake yote Sasa sijui kama blood covenant inafanya KAZI kweli.
Hapa ndiyo umetuambia sababu ya unyonge wako.
Kakuzidi kipato na mengineyo.
Nimeelewa kwanini ulikuwa tayari kubadili dini kwa ajili yake.
Tutafute pesa jamani.
 
Huyo hakupendi alikua anakutafutia sababu tu
 
Nimebadilisha dini ili nimuoe
Nimepeleka kwao posa na barua ya uchumba

Tukagombana kidogo tu, tena sababu ya ugomvi ni yeye ila matokeo yake ameniacha.

Nimejaribu kwenda kwao kuyamaliza nagonga mlango sijafunguliwa...

Naona madilisha yanafunguliwa ila hakuna ishara yoyote.

Nimejaribu kumpigia mama mke nakuta huyu mpenzi wangu ameniblock

Najaribu kumpigia tena baba mkwe nakuta mpenzi wangu ameniblock..

Nakumbuka tukifanya na maagano ya damu, tukakubaliana hatuachani ila ameniacha, sijui kama maagano yatamuathiri.
wakuu..dah wanawake....!!

Jamani matusi kejeli yote ruksa.
Karibuni

Mwanaume Mpumbavu tu ndo analilia mwanamke Karne hii
 
Back
Top Bottom