Watanzania wengi kuanzia miaka 28 na kuendelea tunaowaona ni wafupi, sio kwa sababu genetically ni wafupi, bali kwa sababu ya malnutrition na suluba za kazi nzito kijijni walikokulia. Unakumta akiwa mtoto wakati wa stage ya ukuaji alikuwa anabeba ndoo sita za maji kila siku kilomita tano au zaidi.Ndio maana unaweza kushangaa siku hizi unaona baba mfupi, mama mfupi (au wa wastani), lakini kitoto kinatoka kingongoti, hiyo sasa ndiyo genetic maana mtoto anakuwa pengine amepata malezi mazuri na laini.Na ndio maana ukiangalia sasa hivi vijana wengi walio masekondari au vyuoni, majority ni relatively tall (kutoka ft 6 na kuendelea)...