Wanawake wa hivi wanapatikana mkoa gani?

Usomi wa kijinga siku hizi una haribu wanawake...
Mbona Chinese,Indians, Korean n.k wanasoma na still wanaishi kwenye mila zao...
Imagine mwanamke amesoma Sheria na ameajiriwa akifika nyumbani anakupigia goti...
Mwanamke ni askari akija kwako anakupigia goti na heshima kama zote, hapo ni ngumu sana ndoa kuvunjika..

Moja ya nguzo imara katika ndoa ni kumheshimu mwanaume... Tusijiulize sana kwa nini wazazi wetu wali last longer kwenye ndoa zao...

Hapa kuna vidada vitakuja kunipinga eti ni mfumo dume... Mtakaa sana benchi🤣🤣🤣, ukimheshimu mwanaume na bado anakuzingua huyo shoga kimbia...🤣🤣🤣
Watu wanashindwa kuelewa .. kitu cha kwanza ni Respect (heshima) kisha upendo/mapenzi ndio hufuata..

Hakuna mwanamke atakaye kudharau na akakupenda au kuvutiwa kimapenzi na wewe
 
Back
Top Bottom