Wanawake ni wazuri wakiwa kazini

Eee waendelee kua wazuri huko kazin
Kuliko ambae Hana kazi Wala shughuli yyte huyu anaweza kua shida zaidiii
 
Raha yetu men tukiwa home tuwaone wake zetu wapite-pite mbele zetu, mara hujamuona kwa dakika 5 hivi unaamua kumuita ili akuletee maji ya kunywa, zikipita dakika kadhaa hujamuona tena unamuita uili akuletee juice, mara umuite umuulize chaja ya simu iko wapi japo unajua fika ilipo, mara umuulize taulo liko wapi . Yaani bora umuone-one tyuu. Tena kama ana mzigo ndio utamfaidi kweli wakat huo yupo ndani ya vazi amazing la khanga, unaangusha kitabu au simu makusudi na unamuita aje akuokotee, (apo moyo mwemwere-mwemwere). Daah! Dunia tamu sana, isiishe mapema kabisa.

Sasa km hajapendeza, mzigo hana, amevaa hovyo na havutii kwa chochote, hapo ndipo simu za kuwastua wana twende viwanja zinapoanziaga.
Bro una umri gani
 
Bro una umri gani
Mapenzi hayana umri mzee, we endelea kujifanya mlokole - mwenzi wako akutane na show-show - mlingoti chuma bendera chuma.

Kwa ufupi, mapenzi ni uchafu, sasa km wewe ni msafi bhasi haupo sehemu sahihi. Bora uachane nayo ufanye vitu vingine
 
Mapenzi hayana umri mzee, we endelea kujifanya mlokole - mwenzi wako akutane na show-show - mlingoti chuma bendera chuma.

Kwa ufupi, mapenzi ni uchafu, sasa km wewe ni msafi bhasi haupo sehemu sahihi. Bora uachane nayo ufanye vitu vingine
Duuh mkuu mbona umeeleza vitu ambavo hata sijaviuliza
 
Kama najiona nikitoka mishe huko dera liko wapi hata sidiria sivai ziwa linacheza segere tu kifuani, halafu Kuna Yale Madera ya kushindia yamepauka 🤣🤣🤣🤣 dah, Yale yaliyoiva mapya mapya eti yakutokea.

IMG-20210505-WA0229.jpg
 
Nimesoma maoni ya wadau wa kike na wa kiume,ila kujipamba ni kwa wote,sisi wanaume lazima tujipambe kwa ajili ya wake zetu, yaani wakituona tu wanafurahi na kutuona sisi wapya,na wake zetu lazima wajipambe kwetu(kama wadau wengi walivyo gusia hili). Sisi ni mavazi kwao na wao ni mavazi kwetu.
mwanaume anajipambaje?
 
Ndiyo maana kuna kutoana out. Kama unataka apendeze mpeleka dinner, kanisani au hata kwenye sherehe.
Mwana JF usijaribu hiii ni hatari kwa maisha yako huko sasa ili nani amuone huko?? hivi akipewa mtoto wa ghafla huko na hao mimi nitamlilia nani mie!! mweee sitaki pressure ya kujitakia mie!
 
Duuu! basi nakwambia kaa hivo hivo!! usithubutu kumuweka house Boy!! wale vijana hatari.... kwa kazi za ndani zote!!

House boy hawezi kuwa hatari kwangu mkuu

Hata nikiwa nae atabaki kuwa houseboy tuu..... namaanisha atabaki kuwa mtumishi au kijakazi wa kiume kwa kazi anazotakiwa kufanya
 
Back
Top Bottom