miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Hahahaa ntakupeleka VETA my dear upigwe msasa...Sitaki hao vijana wasije wakakuchepua lol!
Asante honey nitafurahi sana.nitakuwa natembea na zile nguo kabisa za kubadili nilale chini ya gar
Hahahaa ntakupeleka VETA my dear upigwe msasa...Sitaki hao vijana wasije wakakuchepua lol!
Au miss chaga utamlipa fadhila gani huyo kidume aliekusaidia kuweka sawa Gari lako?Ha ha ndiyo hivyo
Vitz ni ndogo bwanaa!!!
Au miss chaga utamlipa fadhila gani huyo kidume aliekusaidia kuweka sawa Gari lako?
Wengi wao wanafahamu kuendesha kwenda mbele tu, shughuli huwa shughulini wakitakiwa kurudi kinyume nyume sehemu finyu au hata kwenye msongamano kama Mijini. Mmmmhhh tunaona mengi
haha hutaki baby walker
Hiyo hata sitaki maana nikiamua kuwapa offer dada zangu na mkija na waume zenu gari haitutoshi.....lol
namuuliza kaka unataka sh ngapi huku namrembulia macho... atakuambia usijali mama kwani unaelekea wapi? unamjibu anaanza misele mwisho wa siku wanajifanya kama zile tamthilia za kuangukiana beach
Shoga situpend tu vitz gari gani ndogo hivyoo, aa afadhali iwe ya juu juu kidogo
Nitashukuru sana usisahau rangi napenda iwe black
Umeona eeeh.Yani kigari kidogoo kama cha mtoto wa form 4 hapana kwa kweli
Hahahahaa, miss chaga mi nahisi umezaliwa mikoa hii ya mwambao, una miteeego!
Ha ha mi wamigombani nimekulia chini ya mikahawa[/QUOTEba
Basi mmeendelea cku hizi kunako tasinia ya mahaba, Mimi pia nimekulia migombani ila kulee kijiji cha Katerero
na vioo tintedi na rim za spots...yote utapata darling!!!
ivoooo basi watafutiwe madereva wawe wanawaendesha ili ikitokea breakdown dreva ashuhulike mama achukue taxi
1. Kwanza, hongera kwa kuwa tumejua unamiliki gari...
2. Pili, si kila jambo ulijualo wewe wengine wanafahamu na ndio maana hata vidole vya kiganjani havifanani...
3. Tatu, hivi siku hizi hufanyi tena mazoezi ya kukimbia hadi morocco?
Wanawake wao kitandani na jikoni