Wanawake na magari

Wanawake na magari

Wengine hata kuosha gari ni issue yeye anapenda kutumia tu kuosha mwanaume ndio apeleke carwash.
 
1. Hongera kwa kuobserve kila kinachotokea kwenye magari ya wanawake wenzio. (u know there is a saying that goes-- you always see what you want to see. So yawezekana umeona wanaume wana pata pancha ila "hujaona"-they werent in your preference list.

2. Yaonyesha unapenda kupepesa macho kuangalia kina dada wenzio wanaendesha magari gani and what will soon go wrong.

3. Kama watu8 alivyosema--si kila mtu anaweza kuwa kwenye "your expected role list" kwamba kila dereva anajua kubadili pancha - yawezekana wewe unaweza kwa kuwa gari lako linapata pancha. Mwingine ana tairi very durable kwa miaka 3 hajawahi kupata pancha so why should he/she bother knowing something that may never happen?

4.Ubinafsi: Sijaona kwenye uzi ukionyesha kama ulimsaidia zaidi umekuja kumsema hapa ; maana umesema unajua kubadili , vipi ungeoffer kumbadilishia tairi , labda angapata shauku ya kujifunza siku za usoni kuwa mdada mwenzangu anajua , let me try as well
 
Wakati mwingine ni mgawanyo wa majukumu tu...mafundi wapo kwaajili gani .....fundi aje afanye kazi nae apate riziki yake.Labda gari lipate shida ndogo ambayo unaweza kuitatua mwenyewe.Tofauti na hapo unajipa tabu mwenyewe kama unaenda kazini unaanza kuchoka kabla hujafika kazini.
 
1. Kwanza, hongera kwa kuwa tumejua unamiliki gari...

2. Pili, si kila jambo ulijualo wewe wengine wanafahamu na ndio maana hata vidole vya kiganjani havifanani...

3. Tatu, hivi siku hizi hufanyi tena mazoezi ya kukimbia hadi morocco?

Mkuu labda tungejua kwanza hilo gari amelinunua kwa hela halali au kwa "kutokukalia uchumi"!
 
Hi wana jamii forum,

Mimi mgeni sana nimekuja leo huku kwenye "stress free area" :A S wink::A S wink:naomba mnipokee. Nimeona wengine wanafaidi nikawa naumia roho ila kwa leo nimeweza kujirejista.

asante sana.
 
Habari zenu wapendwa.

Nikiwa njiani leo kuelekea kazini kuna mama mmoja tyroad hand ikaachia tairi ya mbele kulia ikakaa migulu baja.

Nikiwa kwenye foleni mama akawasha hazard na kuchukua kilongalonga probably alikuwa anampigia husband au fundi.

Mbele kidogo nikiwa kwenye hizi barabara za vumbi maana tunapita huko kukwepa foleni njia kuu. Ikapita gari mama mwingine tairi ya mbele kushotoina pancha mama hana habari anakanyaga wese tuu.

Nikajikuta nawaza wanawake wanapenda magari na kuendesha kwa mbwembwe.

Issue inakuja gari ikiharibika inakabidhiwa mwanaume. Ni kudeka au ndo kawaida maana mie gari pancha nabadili mwenyewe, na vitu vidogovidogo.

Au kwakuwa mie sina husband nimejiseti tatizo likitokea ni langu.
wanawake wengi wana kutokujiamini katika vitu vingi.... so anampa pass mwanaume amalizie mashambulizi
 
Mwanamke anaenda ofisini ameupara na kimini na rangi za gharama kwny vidole then anyanyue jeki? No way kwa hili ht mke wangu nitamtetea
 
Mimi mke wangu nilianza nae relation baada ya Gari lake kupata pancha na Mimi nikamsaidia kubadili tyre pale Stanbic karibu na Sealander Bridge, mpaka Leo ni nae na life inasonga
 
Kumbuka kuwa japo wanawake tunalilia haki sawa lkn kama mwenyezi mungu alivyoumba, Mwanamke akiwa na mwanaume hata kama huyo mwanaume hana nguvu au ni mdogo huwa mwanamke anahisi tuu moja kwa moja anaulinzi pembeni yake....Hii ni kuwa mwanaume huonekana zaidi ndiye muweza katika familia...

Pia kama ilivyojengeka hata kwa mafundi wa magari...Ukienda mwanamke kutengeneza gari huwa watakupiga bei za ajabu na kukudanganya vitu vingine lkn akienda mwaume mwenzao hali hiyo itabadilika....




Habari zenu wapendwa.
Nikiwa njiani leo kuelekea kazini kuna mama mmoja tyroad hand ikaachia tairi ya mbele kulia ikakaa migulu baja.

Nikiwa kwenye foleni mama akawasha hazard na kuchukua kilongalonga probably alikuwa anampigia husband au fundi.

Mbele kidogo nikiwa kwenye hizi barabara za vumbi maana tunapita huko kukwepa foleni njia kuu. Ikapita gari mama mwingine tairi ya mbele kushotoina pancha mama hana habari anakanyaga wese tuu.

Nikajikuta nawaza wanawake wanapenda magari na kuendesha kwa mbwembwe.

Issue inakuja gari ikiharibika inakabidhiwa mwanaume. Ni kudeka au ndo kawaida maana mie gari pancha nabadili mwenyewe, na vitu vidogovidogo.

Au kwakuwa mie sina husband nimejiseti tatizo likitokea ni langu.
 
kumbe huna husband.

Naku-inbox unipigie hata ukitaka kubadili oil tu. Kasinde
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom