TumefananiaNikishinda kwa nyumba sivaagi kufuli Mimi, nahitaji kupata hewa,
Sipendi kuvaa kufuli napenda hewa ipite
Kanisa gani mkuu nije kusali?Shape niliiona wakati wa kusimama.
Mkuu nimejaribu tuu lugha ya mtume, ni neno linaloashiria katazo la juu kabisa kwa kitu fulani. Jamaa amedinda kanisani hyo sio sahihi.Mkuu umeipitia vyema hilo neno la mwisho,na ukajiridhisha kuwa ndo ulichokusudia kuandika hicho?![]()
kumbe om huvai??Huyo nae alizidi loh!!! Mi nikiwaga home ndo sivaagi tu nikitaka kutoka natupia
Picha hapana ila ujue tu sivaagi hata hapa sijaivaakumbe om huvai??
weka kapicha mkuu
we ni mnene au mwembamba,?Picha hapana ila ujue tu sivaagi hata hapa sijaivaa
Pote sipo hapowe ni mnene au mwembamba,?
pouwaPote sipo hapo
Na bila wasi wasi ulitamani hapo ni hatariiiiiMwenyewe nilikaa pembeni kabisa, kwenye dirisha.
Wanaume tuna majaribu mno, halafu ana shepu nzuri sana msichana yule.
hadith yako inatufundisha nini? maana hata sijaelewa uliona nini funguka bhana au tupia kapicha story yako itanoga sana.Hata mnapoenda kanisani jaribuni kuvaa nguo za ndani dada zangu, mnamwaga radhi bila kujitambua.
Jana nilikuwa kanisani, dawati la mbele yangu walikaa wadada watatu.
Ulipofika wakati wa mahubiri, wote tukiwa tumekaa, mmoja wa wale wadada waliokaa mbele yangu akainama kama analalia magoti.
Kumbe sketi aliovaa ilikuwa imeshuka na tisheti yake ikajivuta kwa juu.
Ilikuwa kasheshe, bahati mbaya kabisa, pembeni ya sehemu niliyokaa kulikuwa na watoto na nyuma yangu zaidi kulikuwa na watu wazima walioona hiyo kadhia.
Mbaya sana kwakweli..