Wanawake muwe mnavaa nguo za ndani

Wanawake muwe mnavaa nguo za ndani

Hapo mkuu ulitakiwa umsaidiee kwa kimfunika na sio kutazama tuu
 
Ni kiasi cha kuamua tu Sakayo, bi dada kaamua kuvaa gauni lake refu na kutaka papuchi iwe huru hivyo kutotupia picchu.

Kanisani Unaanzaje kwenda bila chupi!!! Ndo Nakumbuka kwenye msafara wa mamba na kenge wamo!!!
 
mbaya zaidi utakuta alivaa vile vikamba na vikaonekana mubashara kabisa, ndio maana mimi huwa naenda misa ya kwanza ya watu wazima ili ni concentrate maana misa ya pili ina vijana wasiojitambua wengi sana
 
Kanisani Unaanzaje kwenda bila chupi!!! Ndo Nakumbuka kwenye msafara wa mamba na kenge wamo!!!
Hapa tatizo si chupi, ni suala la kujistiri kwa mavazi yenye stara. Hata kama hujavaa chupi haitaweza kujulikana.
 
Ni kiasi cha kuamua tu Sakayo, bi dada kaamua kuvaa gauni lake refu na kutaka papuchi iwe huru hivyo kutotupia picchu.
Mmmmh
Kanisani, alitaka kugundua nini
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Washaurini wavae hijab halafu kanisa litenge sehemu ya wanawake na wanaume
Washauriwe vipi kwani wao vipofu? Ina maana hawawaoni masista wanavyovaa na nywele zao wanazistiri na vilemba?

Huwaga sina mzuka wa church kabisa siku hizi.
 
Mi huwa naenda misa ya Kiingereza haina complications na vishawishi.
Yaani nikienda misa ya kiswahili siwezi kuconcentrate na misa coz mwingine sketi fupi unaona paja unasahau kabisa kama upo kanisani.
Wanaume tuna majaribu mengi ndio maana tumeumbwa na kifua kipana.
 
Mtu akivaa chupi au boksa inaonekana kabisa. Au hata angevaa bikini ule mstari ungeonekana kiunoni.

Ila wa jana hakuvaa kitu kabisa. Karibia ya nusu ya kalio linaonekana.
Ikitokea hiyo kitu concentration yote inapotea, unawaza mengine kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom