basi wewe umeokoka kikwelikweli.Sikudindisha kabisa.
Ndo ujue kwamba hata shetani nae anaendaga kwenye nyumba za ibada..Hata mnapoenda kanisani jaribuni kuvaa nguo za ndani dada zangu, mnamwaga radhi bila kujitambua.
Jana nilikuwa kanisani, dawati la mbele yangu walikaa wadada watatu.
Ulipofika wakati wa mahubiri, wote tukiwa tumekaa, mmoja wa wale wadada waliokaa mbele yangu akainama kama analalia magoti.
Kumbe sketi aliovaa ilikuwa imeshuka na tisheti yake ikajivuta kwa juu.
Ilikuwa kasheshe, bahati mbaya kabisa, pembeni ya sehemu niliyokaa kulikuwa na watoto na nyuma yangu zaidi kulikuwa na watu wazima walioona hiyo kadhia.
Mbaya sana kwakweli..
Mume hupatikani kwa kutovaa ChupiKule pembeni huwa hawaji mkuu nani atawaona,wanataka huku njiani njiani ambako wanajua wataonesha vituko vyao..
Hakuna upande wa wanawake kanisani bhana.Kwanini unakaa upande wa wanawake kanisani? una shida ya kijinsia?
Sipendi hii kitu,wanatukwaza sana hawa,mie ndio maana sikuhizi nikiingia church nakaa pembeni kabisa upande wa madirisha,maana usipoangalia mpaka misa inaisha hakuna uliloambulia,Mshindwe kabisa...





Huyo nae alizidi loh!!! Mi nikiwaga home ndo sivaagi tu nikitaka kutoka natupia
Hawawezi nigundua kwamba sijavaaSasa hapo home wageni wa kiume wakija inakuwaje......... Unaenda kuvaa au vipi?
Hawawezi nigundua kwamba sijavaa
Mmmh kweli joto halijawahi kukwacha mtu salamajoto buana....!!!
Au ukae mbele kabisa yaani viti vya mwanzo kabisaSipendi hii kitu,wanatukwaza sana hawa,mie ndio maana sikuhizi nikiingia church nakaa pembeni kabisa upande wa madirisha,maana usipoangalia mpaka misa inaisha hakuna uliloambulia,Mshindwe kabisa...
Hebu malizia maana umeikata hii habari afu tupia kapicha tuone eee buana..Hata mnapoenda kanisani jaribuni kuvaa nguo za ndani dada zangu, mnamwaga radhi bila kujitambua.
Jana nilikuwa kanisani, dawati la mbele yangu walikaa wadada watatu.
Ulipofika wakati wa mahubiri, wote tukiwa tumekaa, mmoja wa wale wadada waliokaa mbele yangu akainama kama analalia magoti.
Kumbe sketi aliovaa ilikuwa imeshuka na tisheti yake ikajivuta kwa juu.
Ilikuwa kasheshe, bahati mbaya kabisa, pembeni ya sehemu niliyokaa kulikuwa na watoto na nyuma yangu zaidi kulikuwa na watu wazima walioona hiyo kadhia.
Mbaya sana kwakweli..
Sina bongisamiondoko yako ya kwenda jikoni itakusaliti, maana bongisa lisilovaa underwear huwa linatingishika sana, mwanaume makini atagundua tu!!
Sina bongisa