namlexink
JF-Expert Member
- Feb 16, 2012
- 1,434
- 945
Nadhani hata mahubiri hukuyasikia sababu ya shape nzuri uliyoonaMwenyewe nilikaa pembeni kabisa, kwenye dirisha.
Wanaume tuna majaribu mno, halafu ana shepu nzuri sana msichana yule.
Nadhani hata mahubiri hukuyasikia sababu ya shape nzuri uliyoonaMwenyewe nilikaa pembeni kabisa, kwenye dirisha.
Wanaume tuna majaribu mno, halafu ana shepu nzuri sana msichana yule.
hilo kanisa lenu lina free WiFi? nielekeze lilipo nihamie keshoHao ndo wanaotufanya tu tumie WI-FI ya kanisa ku download porn
badala ya kusali unaangalia matako ya wanawake..bora ungelala tu nyumbani
hahahahahahaaaaaaa,,,,,jamaa hawa viumbe wao wala hawana shida......ni kuwa kwepa tuu.....ungehama pale au ungetafuta mwanamama ntu mzima aseme nae..........si wajua mapepo huwa yanajipenyenza kwenye ibada.....
Roman CatholicKanisa gani halina formula ya ukaaji?
Siyo kweli, mimi nimkatoliki tena mseminari.Roman Catholic
Ndio ubunifu wenu mpya?joto buana....!!!
Njoo usali Chang'ombe R.C. Kisha urudi hapa ubisheSiyo kweli, mimi nimkatoliki tena mseminari.
Ulijisikiaje sema ukweli kabisaHata mnapoenda kanisani jaribuni kuvaa nguo za ndani dada zangu, mnamwaga radhi bila kujitambua.
Jana nilikuwa kanisani, dawati la mbele yangu walikaa wadada watatu.
Ulipofika wakati wa mahubiri, wote tukiwa tumekaa, mmoja wa wale wadada waliokaa mbele yangu akainama kama analalia magoti.
Kumbe sketi aliovaa ilikuwa imeshuka na tisheti yake ikajivuta kwa juu.
Ilikuwa kasheshe, bahati mbaya kabisa, pembeni ya sehemu niliyokaa kulikuwa na watoto na nyuma yangu zaidi kulikuwa na watu wazima walioona hiyo kadhia.
Mbaya sana kwakweli..
a umenichekesha, eti Ana shepu nzuri.Mwenyewe nilikaa pembeni kabisa, kwenye dirisha.
Wanaume tuna majaribu mno, halafu ana shepu nzuri sana msichana yule.