stunnacarter2015
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 463
- 1,288
Mahubiri yaliishia apo nadhani
hamjui wengine wataiga mfano mbaya? Halafu saingine huyo ni mtoto wa Mchungaji !Hahaha...kwingine huna shida eti eèeee maana urahisi wa kuyajenga unakuwepo Bavaria.Hasa kanisani, kwingine sina shida.
no pls, sasa tutafaidije? hata mtoa hoja naamini hicho kitendo kilimfurahisha, endeleeni tu.
ndo maana kasifia kwa kusema kwa "ana shepu zuri msichana yule "Ndo muwaoe sasa ili watulie na kuvaa chupiSipendi hii kitu,wanatukwaza sana hawa,mie ndio maana sikuhizi nikiingia church nakaa pembeni kabisa upande wa madirisha,maana usipoangalia mpaka misa inaisha hakuna uliloambulia,Mshindwe kabisa...
wewe unaweza kubadili mtizamo mtoto wa jirani ukamuona na kumhudumia kama mtoto wako wa kuzaa bila ubaguzi wa aina yoyote?Ila naomba ni washauri wanaume hebu jaribuni kubadilisha mitazamo yaani mind set zenu Juu ya kutamani waenda uchi, kwanini msiwapuuze na kuwadharau na kuchukulia kuwa Mwanamke mwenda uchi ni mhuni tu Kama siyo Malaya? Jaribuni kuwa na kinyaa na Watu wa namna hiyo itawasaidia sana kutowatoa Kwenye kuzingatia ibada na popote pale Hata Ofisini mtaani n.k! Imeandikwa amtazamae Mwanamke na kumtamani amekwisha zini naye Moyoni , sasa mtazini na wangapi? Halafu niwaulize hivi dada yako Au mama yako Au Binti yako akivaa uchi naye utamtamani? Ndo maana nasema badilisheni mind set zenu ili muweze kuwa salama Siku zote!
Hata mnapoenda kanisani jaribuni kuvaa nguo za ndani dada zangu, mnamwaga radhi bila kujitambua.
Jana nilikuwa kanisani, dawati la mbele yangu walikaa wadada watatu.
Ulipofika wakati wa mahubiri, wote tukiwa tumekaa, mmoja wa wale wadada waliokaa mbele yangu akainama kama analalia magoti.
Kumbe sketi aliovaa ilikuwa imeshuka na tisheti yake ikajivuta kwa juu.
Ilikuwa kasheshe, bahati mbaya kabisa, pembeni ya sehemu niliyokaa kulikuwa na watoto na nyuma yangu zaidi kulikuwa na watu wazima walioona hiyo kadhia.
Mbaya sana kwakweli..
Ahahahahah duh jf raha unapunguza stressMwenyewe nilikaa pembeni kabisa, kwenye dirisha.
Wanaume tuna majaribu mno, halafu ana shepu nzuri sana msichana yule.
Aahh nawe ulienda mbali sasa mkuu mpaka ukaona na shepu?siku nyingine ikitokea vile unatakiwa ufumbe macho na kuanza kukemea..
Kwahiyo ulidindisha? sasa wakati wa sadaka uliamkaje na mdindo wako?Hata mnapoenda kanisani jaribuni kuvaa nguo za ndani dada zangu, mnamwaga radhi bila kujitambua.
Jana nilikuwa kanisani, dawati la mbele yangu walikaa wadada watatu.
Ulipofika wakati wa mahubiri, wote tukiwa tumekaa, mmoja wa wale wadada waliokaa mbele yangu akainama kama analalia magoti.
Kumbe sketi aliovaa ilikuwa imeshuka na tisheti yake ikajivuta kwa juu.
Ilikuwa kasheshe, bahati mbaya kabisa, pembeni ya sehemu niliyokaa kulikuwa na watoto na nyuma yangu zaidi kulikuwa na watu wazima walioona hiyo kadhia.
Mbaya sana kwakweli..
kama ni dar mbona wengi tu hawavai pichu, na joto lote hilo wanasema yakazi gani papachu ziingie fangazi? tena wakuta mdada ana neema za alah kisha kavalia dera na ndani hana pichu hapo sasa.Wanawake wanaoenda kanisani na mavazi yasiyo na staha washindwe kabisa, wamekosa adabu na heshima yao ni ndogo sana.