Wanawake muwe mnavaa nguo za ndani

Wanawake muwe mnavaa nguo za ndani

Aahh nawe ulienda mbali sasa mkuu mpaka ukaona na shepu?siku nyingine ikitokea vile unatakiwa ufumbe macho na kuanza kukemea..

Kanisani kwetu hatuna mambo ya kukemea.

Sisi sio walokole.
 
Joto gani hilo la kumfanya mtu asivae Chupi? Huyo alikuwa na lake jambo.
 
Mwenyewe nilikaa pembeni kabisa, kwenye dirisha.

Wanaume tuna majaribu mno, halafu ana shepu nzuri sana msichana yule.
hahahahahahaaaaaaa,,,,,jamaa hawa viumbe wao wala hawana shida......ni kuwa kwepa tuu.....ungehama pale au ungetafuta mwanamama ntu mzima aseme nae..........si wajua mapepo huwa yanajipenyenza kwenye ibada.....
 
Mtu akivaa chupi au boksa inaonekana kabisa. Au hata angevaa bikini ule mstari ungeonekana kiunoni.

Ila wa jana hakuvaa kitu kabisa. Karibia ya nusu ya kalio linaonekana.
badala ya kusali unaangalia matako ya wanawake..bora ungelala tu nyumbani
 
Duuuh hii mitego kila siku inazidi sijui ndio biashara au
 
badala ya kusali unaangalia matako ya wanawake..bora ungelala tu nyumbani
Jicho halina pazia...!na lazima jamaa alidindisha c mchezo maana kiumbe cha kike ukiona paja tu au wakati mwengine alama za chupi tu zikiwa kwenye nguo laini unaanza kuweweseka sasa ckuambii ukiona matako live.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom