Wanawake mnataka nini hasa?

Wanawake mnataka nini hasa?

marinda.....
Sema ushauri wangu serious kama mtu aliyepigwa tukio miaka ya nyuma hadi nikadondosha chozi.... Achana na mapenzi, mapenzi mpaka kwenye ndoa....

Chakata mbussu ila mambo ya 'i will die for you' sijui 'ride or die' acha kabisa
Nnikinogeshwa sana tu nampenda
 
Duh kwahiyo sijakomaa

Usiwe MTU wa kuendekeza drama za Wanawake.
Hiyo ni dalili ya kutokomaa.
Wanawake wanapenda Drama, ku-pretend, pia wanapenda kuonekana ni ghali na wanathamani. Hivyo kujifanya wanadharau kwao ni ishu ya kawaida. Hata kàma ukimtazama unamuona Hana lolote la maana lakini utamuona anajitutumua ili umuone wathamani.

Dawa Yao ni kuachana NAO tuu,
 
Mimi nashindwa kabisa kuwaelewa wanawake kipi wanakitaka hasa katika haya maisha

Ukijaribu kumuambia ukweli unampoteza yaani anakuacha.

Ukimdanganya anasema apendi wanaume waongo

Kipi kwenu sahihi mnapenda kusikia au mnataka tufake?

Sisi wanaume wengi mioyo yetu myepesi sana yaani raisi kupenda kiufupi mapenzi yanatufanya tuwe dhaifu licha ya kuwa na mdom kama manara ikifika swala la mapenzi ukali unaisha.
Kwani shida nini?
 
Angalia mimi jinsi nnavyowatreat wanawake zangu,nna wanawake watatu kama sio wanne.

Mmoja ni yule wa kuwa naye mara kibao yaani hata nikiwa batani,nikienda church na kila sehemu niko naye,yeye huwa namla bila kumpa hela coz namvalue tu coz ana akili zake.

Wawili hawa huwa naitaga ghetto kwa ajili ya kuwala tu,wakija hakuna stories wala nini,ni kuvua na kuchapa tu hakuna maandalizi wala nini!maandalizi kwani naandaa shamba mimi?

Nikimaliza nawapa hela wanaenda zao kwao,wanajua kabisa kuwa nna mtu najua kuwa wana watu wao,ila hayo hayanihusu.

Kuna mmoja ndo namseti na yeye ajae aengeze list ya ninao wala kwa mkwanja,kanambia pasaka anakuja nimle,ila kanambia ana mtu wake nikamwambia na mimi nna mtu wangu,it’snt this simple?? Usijisumbue na hawa watu cha msingi kumbuka ndom tu mkuu coz yatakutegeshea mimba haya
 
Angalia mimi jinsi nnavyowatreat wanawake zangu,nna wanawake watatu kama sio wanne.

Mmoja ni yule wa kuwa naye mara kibao yaani hata nikiwa batani,nikienda church na kila sehemu niko naye,yeye huwa namla bila kumpa hela coz namvalue tu coz ana akili zake.

Wawili hawa huwa naitaga ghetto kwa ajili ya kuwala tu,wakija hakuna stories wala nini,ni kuvua na kuchapa tu hakuna maandalizi wala nini!maandalizi kwani naandaa shamba mimi?

Nikimaliza nawapa hela wanaenda zao kwao,wanajua kabisa kuwa nna mtu najua kuwa wana watu wao,ila hayo hayanihusu.

Kuna mmoja ndo namseti na yeye ajae aengeze list ya ninao wala kwa mkwanja,kanambia pasaka anakuja nimle,ila kanambia ana mtu wake nikamwambia na mimi nna mtu wangu,it’snt this simple?? Usijisumbue na hawa watu cha msingi kumbuka ndom tu mkuu coz yatakutegeshea mimba haya
Mbussu4life
 
Anza na uwongo ukishampata mwambie ukwel ,ila ukweli uwe baada ya kumpata nazani umenielewa.
 
Back
Top Bottom