Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,142
- 1,249,376
PM yangu umeionaje? inakuwaje ujue kama ameniita huko?
Angalia vizuri jamaa hajakucheck PM kweli
Angalia vizuri jamaa hajakucheck PM kweli
Basi kina uttoh2002 na king kong III wenye sura ngumu zilizokomaa ndo wanawezana na wanawake.Wanawake wanapenda wanaume waliokamilika. Wanaume Halisi.
Sasa hapo kwenye wanaume Halisi ndio kila Mwanamke anatype yake.
Mwanamke hahitaji ukweli wowote endapo unamuumiza
Mwanamke hataki kuumia.
Uongo wenye faida ni Bora kuliko ukweli unaoumiza, Kwa hawa viumbe waitwao Wanawake.
Kama hujakomaa Kiakili Wanawake Achana nao. Fanya mambo mengine.
Wanawake wapo kwaajili ya wanaume thabiti waliokomaa
Kwenye kumpenda sana hapo ndo unaharibu, umri ukienda utakuja kujilaumu sana kwa huo upumbavu!Am tired nampenda sana
Dkt.Robert ameshatoa nondo zake sasa namkaribisha Carlos The Jackal aongeze yake.Wanawake wanapenda wanaume waliokamilika. Wanaume Halisi.
Sasa hapo kwenye wanaume Halisi ndio kila Mwanamke anatype yake.
Mwanamke hahitaji ukweli wowote endapo unamuumiza
Mwanamke hataki kuumia.
Uongo wenye faida ni Bora kuliko ukweli unaoumiza, Kwa hawa viumbe waitwao Wanawake.
Kama hujakomaa Kiakili Wanawake Achana nao. Fanya mambo mengine.
Wanawake wapo kwaajili ya wanaume thabiti waliokomaa
Wanawake huwa wanjua udhaifu wako mapema sana since day one, coz wao wanatumia hisia sana zaidi yetu nikupe mfano mdogo, kukuletea drama Ni kutaka ku-confirm tuu.
Mwanamke anaweza kujua kuwa Kuna mwanamke mwenzie anakupenda kabla ya wewe kujua katika jamii.
Chunga sana usieleweke.
Au basi mkuuPM yangu umeionaje? inakuwaje ujue kama ameniita huko?
Nimekuelewa kwa tabuAchana na wanawake mkuu. Komaa na mwanamke
Mtie kibendi ashike heshima haujaelewa nini hapo komaa na mwanamke mchape ashike adabu eboNimekuelewa kwa tabu
😂😂😂 sitak mtotoMtie kibendi ashike heshima haujaelewa nini hapo komaa na mwanamke mchape ashike adabu ebo
Kuna mmoja nilimueleza ukweli ndo akapeperuka.Mimi nashindwa kabisa kuwaelewa wanawake kipi wanakitaka hasa katika haya maisha
Ukijaribu kumuambia ukweli unampoteza yaani anakuacha
Ukimdanganya anasema apendi wanaume waongo
Kipi kwenu sahihi mnapenda kusikia au mnataka tufake?
Sisi wanaume wengi mioyo yetu myepesi sana yaani raisi kupenda kiufupi mapenzi yanatufanya tuwe dhaifu licha ya kuwa na mdom kama manara ikifika swala la mapenzi ukali unaisha
Basi we unataka wanawake sio mwanamke😂😂😂 sitak mtoto
Kipi ikoKuna mmoja nilimueleza ukweli ndo akapeperuka.
Lakini huwa wanataka wanachokitafuta na huwa wanakitafuta kila siku hata wakikipata bado wanataka watakachokitafuta huko mbeleni
HapanaBasi we unataka wanawake sio mwanamke
Hujui unataka nini?Hapana
najua nachokitakaHujui unataka nini?
Ndio najifunza ivyoo nikifa si mtasafilisha tuMtoto wa miaka 17 na wanawake wap na wap utafia vifuan mwa mama zako wew
Ilo nalijua mkuuBado una muda usikate tamaa.
Pia, usije fikiria mwanamke ni kiumbe dhaifu.
Kitobo ili uipenyezenajua nachokitaka
Duh kwahiyo sijakomaaWanawake wanapenda wanaume waliokamilika. Wanaume Halisi.
Sasa hapo kwenye wanaume Halisi ndio kila Mwanamke anatype yake.
Mwanamke hahitaji ukweli wowote endapo unamuumiza
Mwanamke hataki kuumia.
Uongo wenye faida ni Bora kuliko ukweli unaoumiza, Kwa hawa viumbe waitwao Wanawake.
Kama hujakomaa Kiakili Wanawake Achana nao. Fanya mambo mengine.
Wanawake wapo kwaajili ya wanaume thabiti waliokomaa