Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,653
- 66,580
- Thread starter
- #41
😂😂😂😂 muhimu utelenziKitobo ili uipenyeze
😂😂😂😂 muhimu utelenziKitobo ili uipenyeze
keichukua ihiiiKinachotakiwa ni uwongo pro max
Anapokwambia hataki mwanaume muongo
Unamuhakikishia kuwa wewe sio muongo kwa kumdanganya zaidi na zaidi kinachofuata hapo ni kukuamini
basi kwisha habari yake
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂 na bado wanasema atuwap wakitakachoLeo ndio nimeju kuandika neno MYEPESI kumbe ndio iv
Wanawake wenyewe hawajui nini wanataka
Okay that's good you know I mean😂😂😂😂 muhimu utelenzi
Kama vipNeediness; the most unattractive trait that leads to failure..
Huitaji kukimbiza mwizi, badala yake, nunua vitu vitakavyomvutia mwizi aje kukuibia. Simple.
I know wellOkay that's good you know I mean
Ukinunua Subaru kali, mbussu zitakuja tu.....Kama vip
😂😂😂😂 forester sioUkinunua Subaru kali, mbussu zitakuja tu.....
Imprezza.....ule mlio unavuta mbussu, ukifanikiwa kumpa Dem lifti basi tayariforester sio
😂😂😂😂 sasa pesa sio za kutoa toa ovyoTatizo lako unaaamini ukweli ni umasikini wako. Sasa tangu lini ukimuambia kuwa wewe una hela kama kweli unazo akakuacha? Sasa wewe umesema ukweli kuwa huna hela , yaani ni masikin halafu unalazimisha mle umasikini wako na mtoto wa mtu?
😂😂😂😂 iyo gar ipo chini sana sio rafiki kwaa bongoImprezza.....ule mlio unavuta mbussu, ukifanikiwa kumpa Dem lifti basi tayari
Ndo sasa tunarudi kwenye ile point yetu kwamba, tafuta hela......iyo gar ipo chini sana sio rafiki kwaa bongo
Hizi ndio hesabu kali kwelikweliTatizo lako unaaamini ukweli ni umasikini wako. Sasa tangu lini ukimuambia kuwa wewe una hela kama kweli unazo akakuacha? Sasa wewe umesema ukweli kuwa huna hela , yaani ni masikin halafu unalazimisha mle umasikini wako na mtoto wa mtu?
😂😂😂😂ila ww jamaa una dharau sana nitafuteje sasaNdo sasa tunarudi kwenye ile point yetu kwamba, tafuta hela......
Tafta ajira, Jenga biashara....ila ww jamaa una dharau sana nitafuteje sasa

Marinda au milinda nyeusi?Tafta ajira, Jenga biashara....
Kuna option ya kuuza marinda![]()
Sijamuelewa ataHizi ndio hesabu kali kwelikweli
marinda.....Marinda au milinda nyeusi?

Achana na mapenzi, mapenzi mpaka kwenye ndoa....Ngoja wakitafute kwanzaKipi iko