Wanawake Malawi watishia kuandamana uchi

Wanawake Malawi watishia kuandamana uchi

Kulaumu mfumo dume hakuuondoi mfumo dume. Tatizo ni nyinyi mademu mko weak katika kila nyanja. Kwa kama kuna cha kulaumu ni hiyo weakness yenu iliyo embedded katika DNA.

Dah. . . naona umeniamulia.
Ngoja nikatafute mademu wengine tupige story.
 
Kulaumu mfumo dume hakuuondoi mfumo dume. Tatizo ni nyinyi mademu mko weak katika kila nyanja. Kwa kama kuna cha kulaumu ni hiyo weakness yenu iliyo embedded katika DNA.

Fikiri zaidi,tazama tulikotoka na tulipo then waweza jua tunaelekea wapi....yana mwisho....!
 
Hapo huoni kama ndipo tatizo lilipo?

Tatizo gani tena jamani? Maana nikitetea tabu. . . nikisema tabu. . .bora nikaungane na mademu wengine ili hata watu wakisema nisione naonewa.
 
Kitu kimoja tu naogopa ni kuishi na mwanamme mwenye akili ndogo,vingine siogopi....mi naenda mwenzio!

Hahaha. . . I like that dearest. Mi ningekua na umbo kama lako ningeuka mstari urefuke.
 
Hahaha. . . I like that dearest. Mi ningekua na umbo kama lako ningeuka mstari urefuke.

Lol, ngoja nikiandika hapa INNOVATOR atakuja kufuta, hapendi nielezee watu walivyo....lol, dearest twende bwana!!
 
Lol, ngoja niliandika hapa INNOVATOR atakuja kufuta, hapendi nielezee watu walivyo....lol, dearest twende bwana!!

Hahaha dearest unataka maandamano yanihusu mimi? Sitaki kulia mie.

Alafu Innovator kasinzia saa hizi hawezi kuona.
 
Kilichotushangaza sio tabia ya baadhi ya wanaume wa Kiafrika, bali tabia ya wanawake wa Kitanzania. Waliosema ni halali yake kilichompata kwa sababu alijitafutia balaa hilo
Mimi naona wakati mwingine wadada wamezidi bana.Leo nilikuwa ofisini akaja dada amevaa jinzi anashindwa hata kukaa.Akikaa pale mbele kitu kinaonekana wazi.Wao wanafikiri sisi tunapenda.Wakikemewa wataacha.Nawapa heko kwa hao wamachinga
 
Mimi naona wakati mwingine wadada wamezidi bana.Leo nilikuwa ofisini akaja dada amevaa jinzi anashindwa hata kukaa.Akikaa pale mbele kitu kinaonekana wazi.Wao wanafikiri sisi tunapenda.Wakikemewa wataacha.Nawapa heko kwa hao wamachinga

Duuuh!!
 
Pamoja na vituko vyote vya watanzania ila kuiga hiyo kampeni haiwezekani, huo ni uwendawazimu na udhalilishaji wa kijinsia.
 
naomba sana siku ambao hawa watu kutoka malawi wata tutembelea nchini maana hata sisi tumeshindwa kuvumilia. hasa hawa makasisi wa makanisa wanawafuga hawa wanawake kufanya vile wanavyotaka.
 
naomba sana siku ambao hawa watu kutoka malawi wata tutembelea nchini maana hata sisi tumeshindwa kuvumilia. hasa hawa makasisi wa makanisa wanawafuga hawa wanawake kufanya vile wanavyotaka.

Fafanua Mkuu.
 
Back
Top Bottom