Fafanua Mkuu.
20 Januari 2012 13:07 Takriban watu 3,000
"Hivi hili suala kweli ni
kuhusu utamaduni au kitu
kingine kinachohusiana na
hali ngumu ya uchumi
wanayokubaliana nayo watu
wakitafuta namna ya kutoa hasira zao? Awali, Bi Banda pia alilaumu
mashambulio hayo kutokea
kutokana na uchumi nchini
Malawi, ambapo kwa sasa
kuna upungufu mkubwa wa
mafuta na fedha za kigeni.
Hiyo hali ngumu ya uchumi inawagusa wanaume tu? Halafu mwanamke kiongozi ndo anatoa hoja kama hiyo.....!
Kwanini hasira zao watolee wanawake na si viongozi wao??