Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,172
- 137,303
Acha weee. . . na hao wanaowavua ni marafiki zao?
Wanaume wanaopinga kama wewe ni adui za hao wanaume wanaofanya hayo?
Kila mtu anakubali/pinga mambo kuendana na uelewa wake bila kujali jinsia. Kwahiyo sioni sababu ya kutumia misemo kama hiyo, labda kama tutaitumia kwa jinsia zote.
Umekurupuka! Yaani you totally missed the point.
You should have at least tried to ask what I meant and I'd have been more than happy to explain it to you.
But since you didn't, let's just say you are right and I was wrong. How about that missy?:lol: