Mwanamke kumyanyasa mwanaume kihisia? Naupenda huo unyanyasaji.
Mhn. Kimwili inategemea.
Hahahaha. . .
Unataka nikunyanyase vipi sasa? Maana kuna kimwili, kiakili na kihisia.
Ninyanyase vyote vitatu
Na unyanyasaji wenyewe. Kwa mfano, vipi kama hiyo picha hapo juu ingekuwa in the opposite?
Maandamano yaliyoandaliwa na wanawake wa Malawi Ijumaa yataenda kwa jina "Today I buy from you, tomorrow you undress me?"
Hahahaha. . . Smart.
Kama hawataki wavae ,waache kuuza.
Hivi kutembea uchi in a group wajua si ishu?? Mi naenda waunga mkono dearest!
Kazi kweli kweli, mfumo dume tu huu...mbona wao wanavaa suruali chini ya ******, si tungewavua kabisa??
Halafu hawa wabaya,mbona kama wamemvua na chupi?? Wanaume wengine wana mihemko yao tu na vitu vinasumbua kwenye pants basi wanaamua kumalizia kwa kina dada....ila watembee na khanga,kama vipi unachomoa khanga yako,ujisetiri!
Huyo mama anatia huruma! Yaani wamemvua nguo zote. Kudadadeeki. Eniwei, alistahili. She should have known when, where, and what to wear lol!!!
Just blame the victim and keep it moving.
Tulaumu mfumo dume.