ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Mojawapo ya vitu vinanavyonikera nikuona mtu anajivika madaraka ya "ukamanda wa maadili ya mavazi stahili" katika jamii iliyokubwa au hadhara inayoshirikisha watu wa aina mbalimbali. Kama unaamua kuwa kamanda wa maadili ya mavazi stahili ndani ya nyumba yako, sawa. Kama unaamua kufanya hivyo pahali pako unapoajiri watu, sawa. Lakini siyo kujifanya maadili yako katika aina ya mavazi ndiyo bora kuliko ya mwingine, kwa visingizio vya utamaduni, siasa, dini au chochote kile unacho amini na kufata wewe, na kwamba kile uvaacho wewe ni lazima kila mtu avae hivyohivyo.
Kikubwa ambacho unaweza kusema kwa mtu usiyemjua na aliyejivalia linguo lake la ajabu ajabu ni kama - amependeza au hajapendeza, mengineyo mwachie yeye na msimamo wake!
well said SD