Wanaume weusi. . . . . !!

Wanaume weusi. . . . . !!

Hehehe! Na kweli mwanakwetu, huku kijijini nilipo mzungu pekee ni padri! Na anaogopa kunasishwa manake kikionekana kitoto shombe tu kitajulikana ni chake.

Niunganishie basi jamani weye mwenye bahati na mie.

Invisible, hebu tuwekee kitufe cha ku-reduce reputation plz!

Hahahaaaaa King'asti hujatulia
 
Last edited by a moderator:
They got a taste huh!

Afu acha kuniibia madesa basi, yaani eti nina mmalawi au mcongo, hell No

Nadhani am a 'countrist' (kama vile racist ila wa nchi anaitwaje?) in my own way

Trust me, wanaume wa tz ndo my only number, hata mkenya staki kusikia! Watz hata waishe wote, bora nihamie kwenye ukameruni (god forbid). Ila mweupe, over my dead rotten body!

Kwani unanionaje bro?
 
wanawapapatikia wazungu kutokana na njaa zao, unakuta ana mzungu pembeni anakidume cheusi kinamkuna
 
Jana nilikua natazama program ya mikas eatv.Wageni walikua Nakaaya na Nancy Sumary Nancy aliulizwa kuwa,ni kwa nini wanamitindo wengi boyfriend zao ni na wazungu,hakutoa jibu la kueleweka,lakini pia hata dada yake,Nakaaya ikaonekana ana kidume mweupe,kwani alipoulizwa alijiumauma. Serena Williams aliwahi kusema kuwa wanaume weusi hawajui mapenzi,hawajiamini na wana wivu wa kijinga.Mshirik wa BBA revolution,Mtanzania Elizabeth Gupta,aliwahi kuwaponda wanaume au vijana weusi,akadai hakuwahi kuwa na kidume mweusi,lakini nashangaa ameolewa na Kevin ambae ni mweusi! Hivi ngozi inaweza ikaathiri tabia ya mtu au ni ujinga wa hawa wanawake?Kuna ushahidi wowote wa kisansi wa kuthibitisha hili?Naomba ieleweke kwamba hao niliowataja hapo sio kipimo cha ufahamu au wao ni bora,hapana.Nimewatumia kama mifano kuelezea tatizo la kutokujitambu tulilonalo!

Sidhani kama ni rangi bali ni utamaduni zaidi.
Tamaduni zetu nyingi hazimpi nafasi au heshima mwanamke kama binadamu kamili, ambaye ana mawazo na mtazamo wake pia katika familia. Lakini kwa wenzetu wametutangulia kidogo na hicho ndicho ninachofikiri wadada wanatafuta na si color.

Na hapo nilipo highlight nafikiri umetumia neno ambalo halistahili kwa maana hauheshimu mawazo ya watu wengine ambao ni huru.
 
Hahaha! Countrist it is, lol! Sasa mie ukiongezea u-racist mbona hapatoshi? Kama ni u-gold digger bora nimng'ang'anie Simbachawene tu kieleweke! Mafisadi woote hawa bongo kwa mzungu nifuate nini?

Smile, it seems hauna access na mafisadi. Hebu nitafute niku-introdyuzi!
They got a taste huh!

Afu acha kuniibia madesa basi, yaani eti nina mmalawi au mcongo, hell No

Nadhani am a 'countrist' (kama vile racist ila wa nchi anaitwaje?) in my own way
 
Last edited by a moderator:
Mmmh, wazungu wenyewe wengi wanaokuja bongo ni wale wameletwa kwa ajili ya 'recreation' programs
Mswahili unaona umepaaaata, mtu ana tatoo kama wa maua maua vile?
Khah, ntakula ugali tembele na huyu huyu ngozi nyeusi aloo.

mmmh hao wanaume weupe utawatoa wapi kwanza..huna jeuri ya kukataa mzungu wewe piga kimya...sema huna bahati nao ..siku wakija kwenye anga zako ...hutocheua
 
hawajui wanalosema.... Ni another racism tu, rangi haidetermine sexual or rmantic qulities
 
Hehehe! Na kweli mwanakwetu, huku kijijini nilipo mzungu pekee ni padri! Na anaogopa kunasishwa manake kikionekana kitoto shombe tu kitajulikana ni chake.

Niunganishie basi jamani weye mwenye bahati na mie.

Invisible, hebu tuwekee kitufe cha ku-reduce reputation plz!
umeona eeeh wewe utongozwe na beckam ...si utazimia hapo hapo....mzungu ni noma dada...siku akikatiza kwenye tisini zangu sitowaza mara mbili...
 
Hahaha! Countrist it is, lol! Sasa mie ukiongezea u-racist mbona hapatoshi? Kama ni u-gold digger bora nimng'ang'anie Simbachawene tu kieleweke! Mafisadi woote hawa bongo kwa mzungu nifuate nini?

Smile, it seems hauna access na mafisadi. Hebu nitafute niku-introdyuzi!
mmmh mimi sio mwenzio ...nimeokoka lakini
 
Akyanani leo ndio nimeamini 'msuba' unaleta phd ya maisha

He he he, mafisadi papa kibao nikahangaike na muzungu, bahati mbaya hata mkizaa mjukuu utampelekaje home?
Wazazi wenyewe hawakufika mido skuli sijui watakomuniketi vipi lol

Hahaha! Countrist it is, lol! Sasa mie ukiongezea u-racist mbona hapatoshi? Kama ni u-gold digger bora nimng'ang'anie Simbachawene tu kieleweke! Mafisadi woote hawa bongo kwa mzungu nifuate nini?

Smile, it seems hauna access na mafisadi. Hebu nitafute niku-introdyuzi!
 
Hahahaha leo Smile umeamuua..... kwa hiyo sie tunaopenda weusi tunapenda sex na si love making au ndo hatujui tofauti?

Hahha wakaka weusi leo mnalo, jiteteeni hapa hasa kwenye kujua sex na kumake love!
kuna tofauti ya kusex na kumake love....inaelekea wewe na Mbu ni sex tu ....badilikeni
 
Last edited by a moderator:
Usije kuwa umeokoka kuanzia kiunoni kuja kichwani na kuamnzia magotini kuwenda miguuni

Wokovu wa siku hizi uko wa aina nyingi.
nimeokoka iyo mitaa ya avatar yangu hapo...ila naona siku hizi shetani ananimendea kweli
 
Kupenda makalio makubwa ni ujinga wa wanamme au preference?
Same applies to ngozi

Hivyo mnakubaliana na kauli au swali la Eiyer hapo chini?
"Hivi ngozi inaweza ikaathiri tabia ya mtu au ni ujinga wa hawa wanawake?"
 
Hivyo mnakubaliana na kauli au swali la Eiyer hapo chini?
"Hivi ngozi inaweza ikaathiri tabia ya mtu au ni ujinga wa hawa wanawake?"
gene za weupe na weusi ni tofauti ....hence defferent colour etc...wana tofauti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom