Wanaume wanaoharibu ndoa zao(wachepukaji)

Wanaume wanaoharibu ndoa zao(wachepukaji)

Mwambie rafiki yako hio ndio matokeo ya kuchagua mtu wa maana mnavyoitaga nyie😂!

Huwezi kupata vyote yani upate bwana mwenye hela halafu awe muaminifu? Hao ni 1 in a million ubahatike sana. Ukitaka mwenye hela ujiandae na ukewenza maana kila mwanamke anamlia timming ili mumeo ajiingize king aanze kuliwa hela zake.
Umenena Vyema!
 
Ubaya wanawake mnapenda kuolewa na wenye pesa,

Mnatuzarau ambao hatuna mawe.

nikipata pesa naoa mitara, Meanwhile nafariji masingo maza.
Umeona kwa Nini hatuwataki msio na Hela?mkipata huwa mnalimbuka sana
 
Kama hawezi kuondoka basi aendelee kuvumilia tu,cha msingi atafute kitu cha kumfanya awe busy na afanye vitu vya kumpa furaha..wakati akimsubiri mumewe arudi pale nguvu za kiume zitakapomuisha..
 
Kama huwezi kumuacha mume mchepukaji ni bora ukae kimya, eti ametoka nae mbali..wapi? Kuzimu?
Mwanaume asiyechepuka atampata wapi? Apambane na hali yake
Na msemage mwanamke asiechepuka utampata wapi.....mbona nyie wanawake mnapenda kujifanya malaika wakati tunajua nyie ni binadamu wenye matamanio kama sie tuu
 
Akichoka ataondoka bila kusimulia, kama ananguvu ya kusimulia basi hajachoka bado,labda kama anaogopa kupambana.Ila ajiandae na presha hii tumetoka mbali hainaga mashiko ni uwoga tu

Ni kweli bado hajachoka,sababu ukichoka huwazi hata mali ...
 
Wanawake kubalini tu kuwa monogamy is a scam. Hakuna mwanaume duniani ana settle na meanamke mmoja. Ushaolewa unapendwa, anakujali wewe na familia, anakukaza vizuri na kukusikiliza basi tulia.

Tutulie tuwasubirie uzeeni nguvu za kiume zimeisha na mna kisukari na presha tuwauguze tu[emoji2]
 
Back
Top Bottom