Wanaume wanaoharibu ndoa zao(wachepukaji)

Wanaume wanaoharibu ndoa zao(wachepukaji)

Hakuna sehemu nimeandika wanaume wote wachepukaji alafu hata babaangu pia mwanaume naomba ukae kwenye point

Alafu nilichogusia maumivu wanayopitia wanaokumbana nakesi za hivo japo sio wote maana kunawengine inawezekana wanajua na Wana amani na ndoa zao
Sijajumuisha wote
 
Baada ya kugundua ana wanawake wengi nje lkn aligundua kipindi yupo kwenye uzazi tangu hapo hajawahi pumzika ni bandika bandua
 
True story
Wakati tunapiga story na jirani zang pia ni rafiki japo kiumr amenizid kidogo nikamsikia anasema" tunakaa kwenye nyumba nzuri vioo Safi tunamali lkn sikumoja usiku nyumba zetu zingeshushwa kuwe wazi mngeona watu tunavoishi unaweza ukasema afadhali mm kuliko yule"nafsi zetu pia zingekuwa wazi mngeona tunavoteseka
Mwambie rafiki yako hio ndio matokeo ya kuchagua mtu wa maana mnavyoitaga nyie😂!

Huwezi kupata vyote yani upate bwana mwenye hela halafu awe muaminifu? Hao ni 1 in a million ubahatike sana. Ukitaka mwenye hela ujiandae na ukewenza maana kila mwanamke anamlia timming ili mumeo ajiingize king aanze kuliwa hela zake.
 
"tangu nimzae mtoto wangu sinahamu kabisa na mumewangu sijawahi pata raha ya tendo la ndoa"

Kama mwanamke hapati raha ya tendo la ndoa, tatizo ni la nani? Hisia zake kwa mwanaume wake zimepungua?

Kwanini zipungue baada ya kuzaa?

Mwanamke tayari ashajiaminisha hapati raha wakati wa tendo, moja kwa moja inaonyesha anafanya tu pasipo hisia na hii performance lazima iwe ya kawaida kabisa. Na labda huwa anamuwekea tu aingize ili tu mwanaume afike kisha kazi kwisha.


Kwa hali hiyo unategemea huyo mwanaume asichepuke?


Huyo mwanamke yeye anaishi vipi tendo miaka zaidi ya nane halifurahii?

Umemuuliza kama anayo alternative ya kukidhi hitaji hilo ipasavyo?


Huo ni upande wa mwanamke, upande wa mwanaume hatujahusikia kujua nini kinamsibu kumhusu mwanamke.


Kuwa na mali na pesa ni tofauti kabisa na kuwa na Furaha, hili lazima litambulike.


Furaha huletwa na mambo mbalimbali katika maisha ambavyo mara nyingi siyo kuwepo kwa mali wala pesa.

Next time usilinganishe furaha ya mtu na mali alizonazo. HAKUNA UHALISIA WA UWIANO.


Usihukumu kwa kusikiliza upande mmoja. Pata muda kusikiliza na upande wa pili.


Hapa hakuna balance na atatupiwa lawama mmoja bila kufikiri upande wa pili.
 
Mwambie rafiki yako hio ndio matokeo ya kuchagua mtu wa maana mnavyoitaga nyie[emoji23]!

Huwezi kupata vyote yani upate bwana mwenye hela halafu awe muaminifu? Hao ni 1 in a million ubahatike sana. Ukitaka mwenye hela ujiandae na ukewenza maana kila mwanamke anamlia timming ili mumeo ajiingize king aanze kuliwa hela zake.
Lkn hajamkuta anavyo ni wametafuta wote maisha had kufikia hapo ilo ndo tatizo
Na maumivu zaidi ni hapo
 
Back
Top Bottom