Wanaume wanaoharibu ndoa zao(wachepukaji)

Wanaume wanaoharibu ndoa zao(wachepukaji)

Tatizo linaanzia hapa

....”Ni mke wamtu kwa kijana smart Wana hela nyumba za kutosha”

Hiki ndio kinachomfanya asiondoke maana anafahamu fika replacement yake haitachukua hata siku 3 za kazi! Atakuwa kashakaimiwa nafasi yake 😂

...”kuondka hawezi sababu wametoka mbali na mumew”

Hiki ni kichaka tu cha kujifichia 😂😂😂
kuna zaidi ya hapo

akishaondoka je mtoto atamuacha kwa mume??

kama siyo huko aendako anaweza kumpa mtoto matunzo inavyostahili?

haya mambo tunaandika tu hapa nyuma ya key bd lkn ukija kwenye uhalisia ni magumu mno
 
Aaaah wapi,wakipata Hela baadae wanalimbuka Sana...wacha tukomae na haohao wadangaji anakupigia tukio halafu anakupoza na mzigo

Unaenda kulilia kwenye private jet wakati unaelekea paris shopping[emoji2][emoji2]
 
kuna zaidi ya hapo

akishaondoka je mtoto atamuacha kwa mume??

kama siyo huko aendako anaweza kumpa mtoto matunzo inavyostahili?

haya mambo tunaandika tu hapa nyuma ya key bd lkn ukija kwenye uhalisia ni magumu mno
Mambo ni mob
 
Unaenda kulilia kwenye private jet wakati unaelekea paris shopping
emoji2.png
emoji2.png
My friend!acha kabisa!
 
Wanaume kiuhalisia kama nyumbani hawapati faraja basi hutafuta nje, lakini pia hulka ya mwanaume sio wa kuridhika na mke mmoja ni ngumu sana maana hata nikifa wanaotoa machozi wawe wengi kiasi cha kuulizana yule ni ndugu yetu pia??

Lakini huu mpango wa uzazi unaharibu sana hisia za wanawake na kumuandaa mwanamke anaetumia mpango wa uzazi hasa Sindano jamani kazi na bado utakutana na ukavu wa hatari huko kunako na ikumbukwe kama mwanamke anakosa utelezi kiukweli inakuwa kazi sana.

Wadada na wamama mpango wa uzazi bora ni kalenda ila hivyo vipandikizi, sindano na vidonge vinaharibu sana uanauke wenu. Nadhani wapo ambao watakubaliana na mimi
 
Kwahiyo dada muandishi nini sababu ya mke kukosa hamu na mumewe ni kujifungua au baada ya mumewe kuchepuka
Hapo lazima mwanamke katumia mpango wa uzazi ambao unaharibu hisia na wanaume huwa tukiona kwenye 6 kwa 6 kila siku ndo tunaanzisha sisi na mwanamke yupo na haonyeshi kuhitaji basi huwa tunajiongeza haraka
 
kuna zaidi ya hapo

akishaondoka je mtoto atamuacha kwa mume??

kama siyo huko aendako anaweza kumpa mtoto matunzo inavyostahili?

haya mambo tunaandika tu hapa nyuma ya key bd lkn ukija kwenye uhalisia ni magumu mno

Kama anamtegemea mume wake kila kitu hapo ndio itakua ngumu kwake,ila kama anajishughulisha mbona maisha yatasonga tu..
 
[emoji23][emoji23] ukitaka kuwaona vzr nenda hsp wakati wanaletwa na wake zao na mikongojo yao kuhudhuria klinik za macho, mifupa na visukari[emoji23][emoji23]

wallahy huwezi amino ni yule alikua mzururaji mji mzima

Na wanatiaga huruma haoo washenzi kweli,ila sisi wanawake tuna huruma sana ndio maana tunaishi maisha marefu japo tunapitia changamoto nyingi...
 
Kama anamtegemea mume wake kila kitu hapo ndio itakua ngumu kwake,ila kama anajishughulisha mbona maisha yatasonga tu..
ni kweli.. inawezekana anajishughulisha lkn bado kipato kikawa hakitoshi kumhudumia mtoto

na ukumbuke mwanaume akishaacha mke anatelekeza na mtoto..

jmn haya mambo tunayaongea tu ila ni magumu
 
Wanaume kiuhalisia kama nyumbani hawapati faraja basi hutafuta nje, lakini pia hulka ya mwanaume sio wa kuridhika na mke mmoja ni ngumu sana maana hata nikifa wanaotoa machozi wawe wengi kiasi cha kuulizana yule ni ndugu yetu pia??

Lakini huu mpango wa uzazi unaharibu sana hisia za wanawake na kumuandaa mwanamke anaetumia mpango wa uzazi hasa Sindano jamani kazi na bado utakutana na ukavu wa hatari huko kunako na ikumbukwe kama mwanamke anakosa utelezi kiukweli inakuwa kazi sana.

Wadada na wamama mpango wa uzazi bora ni kalenda ila hivyo vipandikizi, sindano na vidonge vinaharibu sana uanauke wenu. Nadhani wapo ambao watakubaliana na mimi

Nyie endeleeni tu kuchepuka msilete visingizio vingi maana naona kila mtu na cha kwake...
 
ni kweli.. inawezekana anajishughulisha lkn bado kipato kikawa hakitoshi kumhudumia mtoto

na ukumbuke mwanaume akishaacha mke anatelekeza na mtoto..

jmn haya mambo tunayaongea tu ila ni magumu

Najua ni magumu ila cha msingi ni kupambana fanya kama amekufa vile na huna wa kumtegemea...
 
Tatizo linaanzia hapa

....”Ni mke wamtu kwa kijana smart Wana hela nyumba za kutosha”

Hiki ndio kinachomfanya asiondoke maana anafahamu fika replacement yake haitachukua hata siku 3 za kazi! Atakuwa kashakaimiwa nafasi yake [emoji23]

...”kuondka hawezi sababu wametoka mbali na mumew”

Hiki ni kichaka tu cha kujifichia [emoji23][emoji23][emoji23]
Duh nimecheka hapo Kwenye tatizo linapoanzia!
 
Na msemage mwanamke asiechepuka utampata wapi.....mbona nyie wanawake mnapenda kujifanya malaika wakati tunajua nyie ni binadamu wenye matamanio kama sie tuu
Sisi sio malaika na tunachepuka sana ni vile hamtaki kukubaliana na hali halisi endeleeni kuamini kuwa hatuchepukagi ili msije kufa kwa pressure.
Shangaa mwenyewe lijitu linachepuka na mke wa mtu hlf bado anahubiri wake za watu hawaruhusiwi kuchepuka. Haya maisha nyoko sana. Mla vya wenzake na vyake huliwa
 
Back
Top Bottom