Umeandika hovyo hovyo bila mpangilio. Hariri halafu ilete tena tuisome hadithi yako hii.True story
Wakati tunapiga story na jirani zang pia ni rafiki japo kiumr amenizid kidogo nikamsikia anasema" tunakaa kwenye nyumba nzuri vioo Safi tunamali lkn sikumoja usiku nyumba zetu zingeshushwa kuwe wazi mngeona watu tunavoishi unaweza ukasema afadhali mm kuliko yule"nafsi zetu pia zingekuwa wazi mngeona tunavoteseka
Ni kweli lkn maumivu yako pale pale Bora alieamua kusema kuliko anaeumia mwisho anaamua kunywa sumuKama huwezi kumuacha mume mchepukaji ni bora ukae kimya, eti ametoka nae mbali..wapi? Kuzimu?
Mwanaume asiyechepuka atampata wapi? Apambane na hali yake
Tuko pamojaWazungu waliwaharibu sana akili..nature ya mwanaume yoyote yani kiumbe wa kiume ni kuzalisha..hivyo muda wote yupo kwenye harakati za kuzalisha majike mbalimbali.
Kimsingi hakuna mwanaume asiyehitaji kuwa na wanawake wengi..myb hana pesa tu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo unaamin wanaume wote ni wachepukaji?Kama huwezi kumuacha mume mchepukaji ni bora ukae kimya, eti ametoka nae mbali..wapi? Kuzimu?
Mwanaume asiyechepuka atampata wapi? Apambane na hali yake
Tatizo linaanzia hapaKama huwezi kumuacha mume mchepukaji ni bora ukae kimya, eti ametoka nae mbali..wapi? Kuzimu?
Mwanaume asiyechepuka atampata wapi? Apambane na hali yake
Mtt lips denda ndio umenilocha eeh🥰Pole zao
Hahaha anahofu mchepuko utahamia mazimaTatizo linaanzia hapa
....”Ni mke wamtu kwa kijana smart Wana hela nyumba za kutosha”
Hiki ndio kinachomfanya asiondoke maana anafahamu fika replacement yake haitachukua hata siku 3 za kazi! Atakuwa kashakaimiwa nafasi yake hakuna kingine
Amna bhana anampenda mumewe ndo maaana😀😀😀😀Tatizo linaanzia hapa
....”Ni mke wamtu kwa kijana smart Wana hela nyumba za kutosha”
Hiki ndio kinachomfanya asiondoke maana anafahamu fika replacement yake haitachukua hata siku 3 za kazi! Atakuwa kashakaimiwa nafasi yake 😂
...”kuondka hawezi sababu wametoka mbali na mumew”
Hiki ni kichaka tu cha kujifichia 😂😂😂
Mapema sana yani! Kinachotesa wanaume wengi ni kukosa hela tu ila nguvu za kiume zipo sana yani wala sio za kutafuta.😅Hahaha anahofu mchepuko utahamia mazima
Ushawahi sikia story ya kapuku anavumiliwa😅??? Yani kapuku awe malaya mbwa halafu avumiliwe kwa miaka 8 wakati anaunga unga life!?Amna bhana anampenda mumewe ndo maaana😀😀😀😀
Kwahiyo dada muandishi nini sababu ya mke kukosa hamu na mumewe ni kujifungua au baada ya mumewe kuchepukaTrue story
Wakati tunapiga story na jirani zang pia ni rafiki japo kiumr amenizid kidogo nikamsikia anasema" tunakaa kwenye nyumba nzuri vioo Safi tunamali
Sasa jaman hata kama ni wewe mapenzi yakutese na hela nayo ikutese si utakufaUshawahi sikia story ya kapuku anavumiliwa😅??? Yani kapuku awe malaya mbwa halafu avumiliwe kwa miaka 8 wakati anaunga unga life!?
😂😂😂😂😂😂😂😂Sasa jaman hata kama ni wewe mapenzi yakutese na hela nayo ikutese si utakufa
Njoo unipende mimi kwanza basiSasa jaman hata kama ni wewe mapenzi yakutese na hela nayo ikutese si utakufa