Wanaume wanaoharibu ndoa zao(wachepukaji)

Wanaume wanaoharibu ndoa zao(wachepukaji)

Sisi sio malaika na tunachepuka sana ni vile hamtaki kukubaliana na hali halisi endeleeni kuamini kuwa hatuchepukagi ili msije kufa kwa pressure.
Shangaa mwenyewe lijitu linachepuka na mke wa mtu hlf bado anahubiri wake za watu hawaruhusiwi kuchepuka. Haya maisha nyoko sana. Mla vya wenzake na vyake huliwa
Point! Yaani muendelee kuchepuka hivyo hivyo jamani na sie tule vimbususu vyenu. Tupeane raha jamani kunyimani ni roho mbaya tuu
 
Kama huwezi kumuacha mume mchepukaji ni bora ukae kimya, eti ametoka nae mbali..wapi? Kuzimu?
Mwanaume asiyechepuka atampata wapi? Apambane na hali yake
"Mwanaume asiyechepuka utampata wapi?" hili neno la busara sana hebu wanawake wote wasome post yako.
Mwanamke mmoja hatoshi na huo ndio ukweli haya mapokeo ya dini yanatutesa sana
 
Tatizo linaanzia hapa

....”Ni mke wamtu kwa kijana smart Wana hela nyumba za kutosha”

Hiki ndio kinachomfanya asiondoke maana anafahamu fika replacement yake haitachukua hata siku 3 za kazi! Atakuwa kashakaimiwa nafasi yake [emoji23]

...”kuondka hawezi sababu wametoka mbali na mumew”

Hiki ni kichaka tu cha kujifichia [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
U selfish wao tu...Dini yenyewe inaruhusu...Yule Yakobo ambaye ndio Israel alikuwa na watoto kumi na mbili lakini si kwa mama mmoja.
Yakobo sio mfano mzuri sana. Alitaka mke mmoja tu. Alikuwa mtu wa nidhamu sana. Baba mkwe akamtumikisha miaka saba kisha kumletea mke mwenye chongo usiku. Asubuhi yake jamaa alipolalamika kutapeliwa akapigwa miaka mingine saba ya kazi ngumu ndipo apewe chaguo lake!

Wake zake hao wakaanza mashindano ya kuzaa. Ndipo kila mmoja kwa wakati wake katika zamu yake akawa pia akimleta “house girl” wake kwa Yakobo afanye yake ili kujiongezea idadi ya uzao wake. Hadi hapo ikahesabika, kwa makosa, kuwa Yakobo alikuwa na wake wanne. Kiuhalisia alikuwa na wake wawili, mmoja wa kulazimishiwa, na michepuko/mahawara (concubines) wawili tena wa kuletewa. Ulikuwa ni unyanyasaji wa kijinsia (Mwanzo 29-30).
 
Yakobo sio mfano mzuri sana. Alitaka mke mmoja tu. Alikuwa mtu wa nidhamu sana. Baba mkwe akamtumikisha miaka saba kisha kumletea mke mwenye chongo usiku. Asubuhi yake jamaa alipolalamika kutapeliwa akapigwa miaka mingine saba ya kazi ngumu ndipo apewe chaguo lake!

Wake zake hao wakaanza mashindano ya kuzaa. Ndipo kila mmoja kwa wakati wake katika zamu yake akawa pia akimleta “house girl” wake kwa Yakobo afanye yake ili kujiongezea idadi ya uzao wake. Hadi hapo ikahesabika, kwa makosa, kuwa Yakobo alikuwa na wake wanne. Kiuhalisia alikuwa na wake wawili, mmoja wa kulazimishiwa, na michepuko/mahawara (concubines) wawili tena wa kuletewa. Ulikuwa ni unyanyasaji wa kijinsia (Mwanzo 29-30).
Umeongea vizuri,mwisho wa Siku ndio wakeze..... Ibrahim Babu yake,Kuna Mfalme Suleiman na wengine wengi.
 
Hapo lazima mwanamke katumia mpango wa uzazi ambao unaharibu hisia na wanaume huwa tukiona kwenye 6 kwa 6 kila siku ndo tunaanzisha sisi na mwanamke yupo na haonyeshi kuhitaji basi huwa tunajiongeza haraka

Hivi kama uzazi wa mpango una madhara mengi hivi why watu wanatumia
 
Hii ndoa imedumu kwa sababu Mume ana Pesa tu.

'Vijana tutafute fedha, wake wetu wataishia kunung'unika tu na maisha yanaendelea'
Bora angekuwa na pesa alizozikuta kamkuta maisha ya kawaida kilakilichopo now wametafuta pamoja
 
Back
Top Bottom