Mwanamke ataivunja ndoa yake mwenyewe

Mwanamke ataivunja ndoa yake mwenyewe

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,671
Reaction score
37,844
Jiulize

Kwani biblia haikuona mwanaume???

Wanajua vyanzo vya matatizo kwenye ndoa n wanawake

Na ndio maana wanaume tukaongezewa tuishi nao kwa akili

Sio miguu wala mikono

 Nawakilisha
 
Duh! Inasikitisha..... Ndoa za siku hizi sijui tu!
Hahahahaha 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20260720_201137_Lite.jpg
    Screenshot_20260720_201137_Lite.jpg
    151.8 KB · Views: 7
Mmmh
 

Attachments

  • Screenshot_20260720_230202_Lite.jpg
    Screenshot_20260720_230202_Lite.jpg
    177.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20260720_224636_Lite.jpg
    Screenshot_20260720_224636_Lite.jpg
    130.5 KB · Views: 7
  • Screenshot_20260720_220740_Lite.jpg
    Screenshot_20260720_220740_Lite.jpg
    147.8 KB · Views: 6
Ty
 

Attachments

  • 1784579972434.jpg
    1784579972434.jpg
    19.9 KB · Views: 6
  • Screenshot_20260720_221152_Lite.jpg
    Screenshot_20260720_221152_Lite.jpg
    154.8 KB · Views: 6
  • Screenshot_20260720_221142_Lite.jpg
    Screenshot_20260720_221142_Lite.jpg
    160.8 KB · Views: 6
Jiulize

Kwani biblia haikuona mwanaume???

Wanajua vyanzo vya matatizo kwenye ndoa n wanawake

Na ndio maana wanaume tukaongezewa tuishi nao kwa akili

Sio miguu wala mikono

 Nawakilisha
Ila wanawake awamu hii mpk watakoma 😂 na hawana la kujibu
 
Ila wanawake awamu hii mpk watakoma 😂 na hawana la kujibu
Shida wanajitahidi kututanguliza mapema kwa muumba mpwa yaan n shidaa

Nimetoka leo ununio misiba zaidi ya 5 wanaume wameacha wajane
 
Shida wanajitahidi kututanguliza mapema kwa muumba mpwa yaan n shidaa

Nimetoka leo ununio misiba zaidi ya 5 wanaume wameacha wajane
Ila huwa nawaza kuna namn wanafanya ili waponde mali... Tfaut na hapo pia sababu za kibaiolojia tunaumiza sana akili na mwili kupambania familia alafu mwisho wa siku mke anakuja kukumaliza na anakuona empty set
 
Jiulize

Kwani biblia haikuona mwanaume???

Wanajua vyanzo vya matatizo kwenye ndoa n wanawake

Na ndio maana wanaume tukaongezewa tuishi nao kwa akili

Sio miguu wala mikono

 Nawakilisha
"Chanzo cha mabaya ni pesa(dhuluma) na wasichana(wanawake) ,chunga sana alishasema Salu T" - Fid Q
 
Back
Top Bottom