Asante kwa taarifaSababu biblia iliandikwa na wanaume, nothing serious.
Ila wanawake awamu hii mpk watakoma 😂 na hawana la kujibuJiulize
Kwani biblia haikuona mwanaume???
Wanajua vyanzo vya matatizo kwenye ndoa n wanawake
Na ndio maana wanaume tukaongezewa tuishi nao kwa akili
Sio miguu wala mikono
Nawakilisha
Ila huwa nawaza kuna namn wanafanya ili waponde mali... Tfaut na hapo pia sababu za kibaiolojia tunaumiza sana akili na mwili kupambania familia alafu mwisho wa siku mke anakuja kukumaliza na anakuona empty setShida wanajitahidi kututanguliza mapema kwa muumba mpwa yaan n shidaa
Nimetoka leo ununio misiba zaidi ya 5 wanaume wameacha wajane
"Chanzo cha mabaya ni pesa(dhuluma) na wasichana(wanawake) ,chunga sana alishasema Salu T" - Fid QJiulize
Kwani biblia haikuona mwanaume???
Wanajua vyanzo vya matatizo kwenye ndoa n wanawake
Na ndio maana wanaume tukaongezewa tuishi nao kwa akili
Sio miguu wala mikono
Nawakilisha