Wanaume wanaoharibu ndoa zao(wachepukaji)

Wanaume wanaoharibu ndoa zao(wachepukaji)

"tangu nimzae mtoto wangu sinahamu kabisa na mumewangu sijawahi pata raha ya tendo la ndoa"

Kama mwanamke hapati raha ya tendo la ndoa, tatizo ni la nani? Hisia zake kwa mwanaume wake zimepungua?

Kwanini zipungue baada ya kuzaa?

Mwanamke tayari ashajiaminisha hapati raha wakati wa tendo, moja kwa moja inaonyesha anafanya tu pasipo hisia na hii performance lazima iwe ya kawaida kabisa. Na labda huwa anamuwekea tu aingize ili tu mwanaume afike kisha kazi kwisha.


Kwa hali hiyo unategemea huyo mwanaume asichepuke?


Huyo mwanamke yeye anaishi vipi tendo miaka zaidi ya nane halifurahii?

Umemuuliza kama anayo alternative ya kukidhi hitaji hilo ipasavyo?


Huo ni upande wa mwanamke, upande wa mwanaume hatujahusikia kujua nini kinamsibu kumhusu mwanamke.


Kuwa na mali na pesa ni tofauti kabisa na kuwa na Furaha, hili lazima litambulike.


Furaha huletwa na mambo mbalimbali katika maisha ambavyo mara nyingi siyo kuwepo kwa mali wala pesa.

Next time usilinganishe furaha ya mtu na mali alizonazo. HAKUNA UHALISIA WA UWIANO.


Usihukumu kwa kusikiliza upande mmoja. Pata muda kusikiliza na upande wa pili.


Hapa hakuna balance na atatupiwa lawama mmoja bila kufikiri upande wa pili.
Hakumkuta na kitu Cha maana japo hakuwa maskini riziki alikuwa anapata sasa kuhusu huko ndani sijui asee
 
Huyu ndio mwanamke anatakiwa kuwepo Dunia ya sasa,Maana anawajua wanaume
Alafu hata haongei miaka yote iyo kizuri zaidi sijawahi sikia ana kamchepuko nae apumzike sema ndo hivo hakustahili analopitia
 
Tatizo linaanzia hapa

....โ€Ni mke wamtu kwa kijana smart Wana hela nyumba za kutoshaโ€

Hiki ndio kinachomfanya asiondoke maana anafahamu fika replacement yake haitachukua hata siku 3 za kazi! Atakuwa kashakaimiwa nafasi yake ๐Ÿ˜‚

...โ€kuondka hawezi sababu wametoka mbali na mumewโ€

Hiki ni kichaka tu cha kujifichia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Basi avumilie sa sie tutamsaidiaje?
 
Kwaiyo unaamin wanaume wote ni wachepukaji?

Alaf Shida sio kuchepuka, shida ni je mkeo una mheshim na kumthamini?
Amuulize vizuri atagundua kuna kitu mbali na huko kuchepuka kwa mme wake
Heshima na kuthaminiwa haviwezi kuwepo mtu ana michepuko mia. No love hapo wazaliane tu bas
 
Kisa cha kubeba maumivu ninini?

Kuna haja gani ya kuwa mwaminifu kwa asiye mwaminifu kwako???

Kuna haja gani ya kuwa.loyal kwa mtu ambaye sio loyal kwako?

Maisha mafupi haya


Mwambie ajivutie mchepuko mwenye show ya kibabe ale maisha


Asijekufa na utamu wake


Wakati mwenzie anatumia sehemu zake za siri kwa starehe zake.. .



(Wenye wake zenu povu mkaogee)
 
Kisa cha kubeba maumivu ninini?

Kuna haja gani ya kuwa mwaminifu kwa asiye mwaminifu kwako???

Kuna haja gani ya kuwa.loyal kwa mtu ambaye sio loyal kwako?

Maisha mafupi haya


Mwambie ajivutie mchepuko mwenye show ya kibabe ale maisha


Asijekufa na utamu wake


Wakati mwenzie anatumia sehemu zake za siri kwa starehe zake.. .



(Wenye wake zenu povu mkaogee)
[emoji23][emoji23]
 
True story
Wakati tunapiga story na jirani zang pia ni rafiki japo kiumr amenizid kidogo nikamsikia anasema" tunakaa kwenye nyumba nzuri vioo Safi tunamali lkn sikumoja usiku nyumba zetu zingeshushwa kuwe wazi mngeona watu tunavoishi unaweza ukasema afadhali mm kuliko yule"nafsi zetu pia zingekuwa wazi mngeona tunavoteseka

Ni mke wamtu kwa kijana smart Wana hela nyumba za kutosha na ni mwanamke mzuri mtulivu nikajiuliza shida nn aongee Maneno mazito hivo na hajawahi kuzungumzia ndoa yake na huwa hatuna Tabia ya kuzungumzia maisha ya ndoa

Nikamuuliza shida nn akasema"tangu nimzae mtoto wangu sinahamu kabisa na mumewangu sijawahi pata raha ya tendo la ndoa wakati huo mwanae ana nane na wanaishi pamoja mwaka wa tisa
Inamaana Hana amani kwa zaidi ya miaka nane
Kisa hiki hapa

Maisha yao mazuri Sana lkn mwanaume wake ni mwanaume ambae ana wanawake wa nje na wengine anafikia hatua ya kuwajengea nyumba na kuwazalisha kwa kuhisi kuwa mkewe hawez fahamu sababu mji ni mkubwa na ni Siri Yan ni Malaya full package

kumbe pamoja na mkew kutokuwa mtu wa kutoka huwa anapata habari zote za mumew na analetewa na evidence full kuhusu kuondka hawezi sababu wametoka mbali na mumew na hata akimuuliza anajua atakana tu anabaki anaumia miak nane unamchekea mtu anaekuumiza kwakweli anaishi kwa mateso mno


Kakazangu mnaochepuka afya za wake zenu na mioyo yao kwenu ni mbaya mno ukilinganisha na mnavowaona wanawahudumia na kuwachekea na mabaya yenu asilimia 70 na usalit wenu wanaufahamu japo hawawaulizi kwa kuhofia kuvunja ndoa

Ebu wakat mnafanya hayo waangalieni na wao mnawatesa mno..
Wanawake kubalini tu kuwa monogamy is a scam. Hakuna mwanaume duniani ana settle na meanamke mmoja. Ushaolewa unapendwa, anakujali wewe na familia, anakukaza vizuri na kukusikiliza basi tulia.
 
Kisa cha kubeba maumivu ninini?

Kuna haja gani ya kuwa mwaminifu kwa asiye mwaminifu kwako???

Kuna haja gani ya kuwa.loyal kwa mtu ambaye sio loyal kwako?

Maisha mafupi haya


Mwambie ajivutie mchepuko mwenye show ya kibabe ale maisha


Asijekufa na utamu wake


Wakati mwenzie anatumia sehemu zake za siri kwa starehe zake.. .



(Wenye wake zenu povu mkaogee)
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom