Wanaume wanaoharibu ndoa zao(wachepukaji)

Wanaume wanaoharibu ndoa zao(wachepukaji)

Ubaya wanawake mnapenda kuolewa na wenye pesa,

Mnatuzarau ambao hatuna mawe.

nikipata pesa naoa mitara, Meanwhile nafariji masingo maza.
 
Kama huwezi kumuacha mume mchepukaji ni bora ukae kimya, eti ametoka nae mbali..wapi? Kuzimu?
Mwanaume asiyechepuka atampata wapi? Apambane na hali yake
Ebu kachukue Pepsi bigi kwa mangi chapu ninalipa Mimi fortnox
 
Punguzeni ujeuri na kiburi ndani ya nyumba. Ama sivyo wanaume wataendelea kutafuta michepuko nje.
 
Wazungu waliwaharibu sana akili..nature ya mwanaume yoyote yani kiumbe wa kiume ni kuzalisha..hivyo muda wote yupo kwenye harakati za kuzalisha majike mbalimbali.

Kimsingi hakuna mwanaume asiyehitaji kuwa na wanawake wengi..myb hana pesa tu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo. Mimi ni mfano halisi. Sijawahi kuchepuka na wala siwezi fanya hivyo.
 
Hapa wanawake ndio huwa mnanifurahisha.

Yaani mwanaume nipambane wee Hadi nijiimarishe niwe stable kipesa hapa naanza kulia kimvulini, ndio unajifanya unakuja na kutaka kuniteka yaani unifunge eti nisipate vingine kisa wewe ,[emoji1][emoji1] kwa lipi hasa unalo Nipa Hadi unipangie Cha kufanya na kwa wakati gani.


As long as I make money, I make rules ukiona sikufai sepa.
 
Ushawahi sikia story ya kapuku anavumiliwa😅??? Yani kapuku awe malaya mbwa halafu avumiliwe kwa miaka 8 wakati anaunga unga life!?
Makapuku huwa na mahaba mazito Sana Maana ndio silaha Yao,na Uaminifu juu,......Sasa subiri Mungu amjalie riziki apate mbili tatu za kubadilishia mboga ndio utajua hujui.
 
Makapuku huwa na mahaba mazito Sana Maana ndio silaha Yao,na Uaminifu juu,......Sasa subiri Mungu amjalie riziki apate mbili tatu za kubadilishia mboga ndio utajua hujui.
Ndio muolewe nao kama mnataka mapenzi sio otherwise
 
Back
Top Bottom