DAN LOKOMOTIVE
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,536
- 1,997
you still don't understands how women minds works don't you?Kwa mda mfupi
For long term purposes nobody likes a rough person on her
you still don't understands how women minds works don't you?Kwa mda mfupi
For long term purposes nobody likes a rough person on her
Binadamu wote ni similar principleyou still don't understands how women minds works don't you?
you still need to learn mkuu nothing can be compared with women mind set its special and complicated which needs to be guided and little force needed to make them feel special which they think is real love...Binadamu wote ni similar principle
Mwanaume asie mtulivu anataka mwanamke mpole for the long run
Mwanaume mpole anaona bora machepele amchangamshe
Nani alothibitisha, wachaga wengi tu wamezaliwa mbali na moshi, sasa iweje wote wawe sawa, elezea kinagaubaga huko kuchangamka, kivipi yani. Cuddling, kissing every time, kudekadeka, kubebana, kudinyana, kuchangamka neno pana.Huyu ni wapili sasa, nikapiga story na mashosti walowahi kudate wachaga story is still the same. Nyie wenyewe mmethibitisha kwenye uzi huu kuwa mmechangamka kwenye utafutaji tu sio upande wa pili.
Volume brother volume ipo juu punguza kidogHuo us..nge sijui wakuwa fun na makorokoro kibao kawatafuteni machoko wa pwani huko n.k
Sisi tupige tako mbili tatu wazungu hawa hapa..tunaendelea na mbishe nyingine,ukitaka kaliwe nje huko chiu si wako
Hapana,,, hilo ni la pili lakwanza ni UVELIAHilo ndio umeandika jina lako la kwanza ama la pili?
hawna lolote kesha pata mwanaume mwingine sasa anajifanya hawajachangamka wasenge hawa wadada wasiku hiziNani alothibitisha, wachaga wengi tu wamezaliwa mbali na moshi, sasa iweje wote wawe sawa, elezea kinagaubaga huko kuchangamka, kivipi yani. Cuddling, kissing every time, kudekadeka, kubebana, kudinyana, kuchangamka neno pana.
Tricky contradictionHabari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all
Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
Tricky contradictionHabari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all
Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
Kwa iyo ndio unamlipizia. Hehee, you're not serious, the earlier de better, kabla bonding haijawa kubwa sana na wewe upate type yako mapema, uwapembue uwapendao mapema mapema, wengine ukiwapotezea muda kama unavyoplan, wanakutoa roho.Kwani mimi muda wangu haupotei?
Kwani sikukuambia.???Hivi cute b ni mchaga
Hakika mama hakikaaa.
Tafuteni pesa hayo mengine ni nyongeza.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
Naona kwenye avatar umeamua kunionyesha kwamba...! Au basiiiiHakika mama hakikaaa
Utabaki kuwa juu my dear ,juu kileleni dearUnajua ili useme chakula hiki ni kibaya ni lazima umeshawahi kula chakula kitamu. Hauwezi kusema chakula ni kibaya huku haujui kitamu kipoje.
Hauwezi kusema mwanaume huyu amepooza, au hajui mapenzi kama haujawahi kuwa kwenye mahusiano na watu kadhaa ukaona utofauti.
Wanaoweza ni kwa sababu wanaume wao hao hao ndiyo waliowafundisha mapenzi yaani wameanza nao na wanaendelea nao. Huwa hawaonji nje ili kufananisha kama ladha ni tofauti au lah ndiyo maana tunaweza.
Wasio weza ni wale ambao wameshaonja ladha mbali mbali. Ni sawa na mtu anasema mtu ana kibamia, hawezi kusema hivyo kama hajawahi kukutana na kubwa. Lakini tungekuwa tunatulia kwenye mahusiano haya mambo ya kufananisha fananisha na kugundua kasoro za mwenzako yasingekuwepo.
At least wewe umekuwa muwazi na hiki ulichokiandika hapa ni uhalisia mtupuRaha ya mwanaume awe jeuri jeuri walau kidogo