Nyie wenyewe mmenithibitishia humu kuwa mmepooza. Hivyo nilikuwa sahihi tangu awali.Sitaki kusema wanawake wote ..
Lakini huyu Dada akili zake ni mbovu sana ..
Kwanini ? Unaposema mtu kapooza , wewe upande wako umechukua hatua gani kumchangamsha, au unadhani utakutana na a perfect man?
kudate wachagga wawili Ndio kunakupa uwezo wa kuhukumu kabila lote (akili mbovu sana hii).
Unakiri kabisa anakupenda lakini kwako upendo sio kipimo ila kipimo chako ni uchangamfu (Mungu akusamehe bure )
Kama kweli umemchoka muache, shida yako si unataka aliyechangamka ...basi nenda uakaolewe na Dj....

katafute maveterani wenzako uixhi nao ili utuachie kijana wetu aendeleze culturekukupa kampani ya kutosha hadi mwil wote usisimkeBusy na nini?
😀😀 Ni kweli wapo hivyo hata kwenye kutongoza hawana ushawishi👏👏👏👏👏
Hiki ndicho nilichomaanisha, nashukuru kwa kunielewa.
Sasa matusi ya nini mkuu??? Ya nini kuita watu machoko?? Yaani unafaidikaje kwa mfano???Huo us..nge sijui wakuwa fun na makorokoro kibao kawatafuteni machoko wa pwani huko n.k
Sisi tupige tako mbili tatu wazungu hawa hapa..tunaendelea na mbishe nyingine,ukitaka kaliwe nje huko chiu si wako
Huyu mshkaji ni rafiki wa rafiki yangu ila kututukana bila sababu kiukweli amenichafua.Kupanik huku kunaonyesha wote mtakuwa hivyo.
Kwani wanaume wa pwani wamekukosea nini hadi uwatusi hivyo? Mbona hawana shida na mtu kabisa.
Kumbe????Ila jamani wanajua sana kujali familia zao, kwa Hilo nawapongeza. Mimi ni mchaga lkn haijawahi tokea nikadate mchaga mwenzangu
Eeeeh naona unawatusi ma baby zetu hapaHuo us..nge sijui wakuwa fun na makorokoro kibao kawatafuteni machoko wa pwani huko n.k
Sisi tupige tako mbili tatu wazungu hawa hapa..tunaendelea na mbishe nyingine,ukitaka kaliwe nje huko chiu si wako
Ndio rafiki. Halafu umepotea sanaKumbe????
Pole jamani msamehe bureSasa matusi ya nini mkuu??? Ya nini kuita watu machoko?? Yaani unafaidikaje kwa mfano???
Wewe nawe ni kahaba kama walivyo makahaba wa siza mori, ni kwanini usubiri akumalizie nyumba yako ndio umuache.I see!
Huyu namvumilia tu maana namalizia ujenzi wa nyumba yangu niachane nae maana sidhani if i can spend the rest of my life with someone like this. Nitamchoka mapema sana.
Walevi matatizo sanaEeeeh naona unawatusi ma baby zetu hapa
Wangoni nawapata wanawake kidogo, wa gubu hao. Hopefull wanaume hawako hivo.