Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Rafiki nipo aiseee. Majukumu tu yanabanaNdio rafiki. Halafu umepotea sana
Rafiki nipo aiseee. Majukumu tu yanabanaNdio rafiki. Halafu umepotea sana
Aggghhh!!!! Hujambo zesh???Pole jamani msamehe bure
Vizuri mkuuRafiki nipo aiseee. Majukumu tu yanabana
Mbona hajasema Kama anajengewa?Wewe nawe ni kahaba kama walivyo makahaba wa siza mori, ni kwanini usubiri akumalizie nyumba yako ndio umuache.
Endelea kuiumiza k yako kwa sababu akili hauna
Habari ya chugga???Vizuri mkuu
Baridi kali hapafaiHabari ya chugga???
Mkuu kumbe wewe ni mchaga? ShimboniYaani tuache kutafuta pesa tuhangaike kukukimbiza kama jogoo na mtetea??!! una kichaa dada??
Pole sana! Wazungu wenye mawe kipindi cha winter hukimbia miji yao na kuja Africa or Asia for a holiday.Baridi kali hapafai
Hahah huo mda wenyewe tunautoa wapi mkuu?good time tutaikuta uzeeni Mungu akituwezesha otherwise ni pesa tu inatafutwa kwa sasa kuweka weka assets kwa ajili ya watoto Mchagha hana ile “mtoto atajitafutia mwenyewe” mtoto kesho yake anaiandaa baba yake kama baba zetu walivyotuandalia sisi.Jitahidi kwenda nae baa na rafiki zake..kula kupiga story kuangalia mpira
Na kama anajenga kwenda site na mwisho wa mwaka kwenda Moshi
Huko utaenjoy
Mana hawajuagi kupeleka mtu dates wala nini
Sana sana baa kwny pombe baaas
Inshort hawana mambo ya kizungu
Hapana sijawahi kuwa na mtu mchagaItakuwa una kaexperience nao, hivyo nimekukumbusha.
Hao wanakuwa wamejiandaa kwenda holiday, si unajua sie hatuna utaratibu huo? Nikiondoka huku kukwepa baridi means nife kwa njaa 😃Pole sana! Wazungu wenye mawe kipindi cha winter hukimbia miji yao na kuja Africa or Asia for a holiday.
Sogea japo Dar hapo usiteseke bureeee
me sijalewa mkuu wangu maana yakuotkuchangamka yaani akikouna hafurahii au hakuongeleshi au inakuwaje yaani ungeweka mfano kitukio kigog ambacho kina onesha kutokuchanagamka kake maybe tungeelewa wengi hivi hivi ni basi...halafu kwanini unasubiri mpaka umalize nyumba yako ndo umuache kwanini sasa hivi usimuache?Nimeelezea kutokuchangamka kwake, hayo mengine ni yako mkuu.
Hahahahahahaha!Hao wanakuwa wamejiandaa kwenda holiday, si unajua sie hatuna utaratibu huo? Nikiondoka huku kukwepa baridi means nife kwa njaa 😃
Msamehe tu mkuu, sijui amevurugwa na nini. Itakuwa ni wale wachaga wasio jua mapenzi na pesa pia hawana. Hivyo anaumia kukosa vyote.Huyu mshkaji ni rafiki wa rafiki yangu ila kututukana bila sababu kiukweli amenichafua.