Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Yaani hapa kuwa romantic nafikiri vinazungumziwa vitu mbali mbali

Kumbeba beba ukiwa unampeleka bafuni

Hug za nguvu unapopata nafasi

Maneno matamu ikiwepo sifa sifa kibao

Vizawadi zawadi vya hapa na pale, outing mbili tatu katika mwezi

Love languages muhimu sana

Nb; Tanzania ya viwanda
Mkuu upoooo?????🤣🤣🤣🤣
 
Kujibizana na machoko ni kazi sana, vinajichekesha chekesha tu. Umalaya umeumaliza fb umeamia jf sasa.

Nasubiri jibu.
Yaani hivi vidudu wawatu vinawaita wenzao malaya sijui wananguvu gani kila saa wee malaya we malaya ikute hata yeye ni shoga eti na anahasira watu wakipost na niwadada waliopewa K nawao wanatamani na hawana hii nikazi ndio maana mi nimeamua kukaa kimya.
Uvelia pole ndio jamii forum mpya ya vijidudu watu.
 
Wako brain washed hao, wanafikiri kila mwanamke lazima afanyiwe kila kitu na mwanaume. Nyumba kitu gani mbona mambo madogo tu hayo. Kama wao wanaweza why sisi tusiweze?
Ukute yeye hajawahi hata mchangia demu wake mfuko wa cement lkn akiona mwanamke anajenga anahisi amesaidiwa
 
Ni wakimya jamani A)hawako romantic B)wanwaza hela C) ni wachukuliaji nyota na washirikina wanapenda sana kanisa hawakosi ili wapunguze dhambi.
Sio wanyimi niwatunzaji ila sio wote hwajui mambo ila kaa ujue wanapenda biriani sana ndio maana asilimia nyingi wameoa wazungu.
Nawaogopaga sana kudate now baada yakuwajua tabia zao.
Whaaat!
 
Yaani hivi vidudu wawatu vinawaita wenzao malaya sijui wananguvu gani kila saa wee malaya we malaya ikute hata yeye ni shoga eti na anahasira watu wakipost na niwadada waliopewa K nawao wanatamani na hawana hii nikazi ndio maana mi nimeamua kukaa kimya.
Uvelia pole ndio jamii forum mpya ya vijidudu watu.
Kumbe nimempati, ananionea wivu kwavile ni mwanamke anafikiri nimemchukulia soko lake?

Apite kuleeee sinaga shobo nao kabisa.
 
Ukute yeye hajawahi hata mchangia demu wake mfuko wa cement lkn akiona mwanamke anajenga anahisi amesaidiwa
Ni wivu tu, ukute hata kiwanja hana hivyo anaumia kuona mwanamke anajenga. Basi inabidi ajifariji kwa kusema ninajengewa.
 
Habari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all

Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
Inawezekana unao kutana nao ni wazee.... ila embu njoo dm nikuibie siri ambayo huifaham...
 
Kwasisi tuliyozoea siyo kazi, kwa ambaye haelewi na hajazoea ni kazi ngumu sana
Trust me

Ni kweli kabisa, labda tunavyoendelea watazoea na kuona ni mambo ya kawaida tu wala hayamzuii mtu kutafuta pesa. Maana si mzigo useme unaubeba kwenda nao kazini.
 
Back
Top Bottom