Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,381
Naomba unipe ramani tukutane nikupe yale ya kwetu nshomile
Mkuu upoooo?????🤣🤣🤣🤣Yaani hapa kuwa romantic nafikiri vinazungumziwa vitu mbali mbali
Kumbeba beba ukiwa unampeleka bafuni
Hug za nguvu unapopata nafasi
Maneno matamu ikiwepo sifa sifa kibao
Vizawadi zawadi vya hapa na pale, outing mbili tatu katika mwezi
Love languages muhimu sana
Nb; Tanzania ya viwanda
Kwa mda mfupibut you do agree with me that girls like rough guys right?
Mkuu upoooo?????🤣🤣🤣🤣
Yaani hivi vidudu wawatu vinawaita wenzao malaya sijui wananguvu gani kila saa wee malaya we malaya ikute hata yeye ni shoga eti na anahasira watu wakipost na niwadada waliopewa K nawao wanatamani na hawana hii nikazi ndio maana mi nimeamua kukaa kimya.Kujibizana na machoko ni kazi sana, vinajichekesha chekesha tu. Umalaya umeumaliza fb umeamia jf sasa.
Nasubiri jibu.
Ukute yeye hajawahi hata mchangia demu wake mfuko wa cement lkn akiona mwanamke anajenga anahisi amesaidiwaWako brain washed hao, wanafikiri kila mwanamke lazima afanyiwe kila kitu na mwanaume. Nyumba kitu gani mbona mambo madogo tu hayo. Kama wao wanaweza why sisi tusiweze?
Nimecheka ulivyomalizia, mbona sio kazi hata?
Whaaat!Ni wakimya jamani A)hawako romantic B)wanwaza hela C) ni wachukuliaji nyota na washirikina wanapenda sana kanisa hawakosi ili wapunguze dhambi.
Sio wanyimi niwatunzaji ila sio wote hwajui mambo ila kaa ujue wanapenda biriani sana ndio maana asilimia nyingi wameoa wazungu.
Nawaogopaga sana kudate now baada yakuwajua tabia zao.
Kama kawa bro. I was talking about you last night nkasema July ndio hiiNipo bro vipi habari
Kila mmoja kuna anavyovipenda katika hio checklist ila si vyote. Tabu huanzia hapo.Mzee wa kazi wanawake pack yao inahitaji vitu vingi sana ukiingia inabidi ujiandae na ukubaliane na yote
Wanaume tumeumbiwa Mateso
Kumbe nimempati, ananionea wivu kwavile ni mwanamke anafikiri nimemchukulia soko lake?Yaani hivi vidudu wawatu vinawaita wenzao malaya sijui wananguvu gani kila saa wee malaya we malaya ikute hata yeye ni shoga eti na anahasira watu wakipost na niwadada waliopewa K nawao wanatamani na hawana hii nikazi ndio maana mi nimeamua kukaa kimya.
Uvelia pole ndio jamii forum mpya ya vijidudu watu.
Inawezekana unao kutana nao ni wazee.... ila embu njoo dm nikuibie siri ambayo huifaham...Habari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all
Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
Kwasisi tuliyozoea siyo kazi, kwa ambaye haelewi na hajazoea ni kazi ngumu sana
Trust me
Kila mmoja kuna anavyovipenda katika hio checklist ila si vyote. Tabu huanzia hapo.
Kama kawa bro. I was talking about you last night nkasema July ndio hii